Recent content by Gota8s

  1. Gota8s

    Mimi ni Divergent suala hili linanipa sana tabu

    Hapana. Asili yangu ni katika upwa wa kusini mashariki mwa nchi yetu
  2. Gota8s

    Mimi ni Divergent suala hili linanipa sana tabu

    Inaendelea... 02 Suala lingine linalonichanganya ni kuwa kwenye suala la kulala. mimi ndio wa kuamua nilale au nisilale. wakati mwingine huwa najielewa hata usingizini. hata nichoke namna gani ninaweza kuazimia kukaa macho usiku mzima na kesho yake nikaamka nafanya shughuli za kawaida. Zamni...
  3. Gota8s

    Mimi ni Divergent suala hili linanipa sana tabu

    huwezi kufahamu mzee. ila napata tabu mno, ni kama kuwa macho kwenye jamii ya waliosinzia. kiufupi mimi huwa nina machaguo yote, kwa chochote huwa sina ile ya kuusikiliza moyo siwezi. niko macho mno.
  4. Gota8s

    Mimi ni Divergent suala hili linanipa sana tabu

    ni kweli. hata mimi najitahidi sana. naamini nitaweza. Asante
  5. Gota8s

    Mimi ni Divergent suala hili linanipa sana tabu

    karibu kila kitu, kuanzia imani, hisia na misimamo
  6. Gota8s

    Mimi ni Divergent suala hili linanipa sana tabu

    nadhani pia kuna movie inaitwa hivo. Divergent nimemaanisha kuwa sifungamani na kundi hata moja, yaani mimi makundi nyote naingia
  7. Gota8s

    Mimi ni Divergent suala hili linanipa sana tabu

    Habari zenu wana jamvi. heshima kwenu wote Kuna suala hili huwa linanifanya nijione mimi ni wa tofauti sana. yani huwa sijawahi kukutana na aina hata moja ya watu ambao nimeendana nao. jambo moja la msingi ni kwamba siwezi ku-fit in kwenye demo' hebu ngoja nieleze zaidi. kwanza mimi huwa sina...
  8. Gota8s

    IT na watu wenye akili nyingi kujeni hapa

    Nadhani mleta mada ni dereva wa Uber.
  9. Gota8s

    Nimegombana na Mshkaji sababu ya kunidhalilisha

    Pole. Bila shaka wewe una watoto, na kinachokugusa zaidi ni endapo hata mwanao anaweza kuwa namna hiyo. Ila nikuambie jambo. "You are not the only sane man on face of the earth"
  10. Gota8s

    Kwanini Mwarabu na Mreno huwa hawahesabiki kama wakoloni?

    Hakuna mkoloni brutal na ruthless kama mreno. Washenzi sana hawa jamaa
Back
Top Bottom