Virusi hatari kwa sasa Dunian maarufu kama Corona Virus vimetinga Ulaya kwa kuwashambulia Makocha na wachezaji Athari pia imeonekana kwa Viongozi na taasisi mbalimbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hatari kubwa sana naomba #Watanzania wenzangu tupige kelele juu ya hili na tusibakie kuzungumzia mambo ya #Uchaguzi na #Siasa ni vema kuangalia hali hii kwa Upana. Ugonjwa huu umeahindikana na wenye technology ya juu.
Mungu Ibariki Tanzania;Mungu ibariki Africa.
Sent using Jamii Forums...
Mask sio issue kumbuka hata Madaktari wanao watibu wagonjwa huvaa Mask na bado wanakufa we unazani hizo mask watavaa siku zote hao wachina wakifika huku watavaa siku zote? Ulisha wahi kuwaza kwa mfani ile nyomi ya kkoo kama ugonjwa ukilipuka nn kitatokea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni muda wa kupaza sauti Serikali ilichukulie hili jambo maanani. Wananchi hatuna amani katika hili. Sijui tufanyeje jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali inabidi iingilie kati huu Ugonjwa unasambaa sana tena vibaya sana. Kwa sababu hatuna nyenzo nzuri za kupambana nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habari, ni vema kuendelea na maombi juu ya taifa na watu wote kwa ujumla ili mkono wa Mungu usitupungukie katika hili, tubaki salama kama Taifa, na tuwe mbali na Ugonjwa huu hatari ulioanzia Bara la Asia.
#LetGodLeadUs.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu habari zenu. Naomba kama una uza au una connection na wanapouza maturubai makubwa yale kwa lengo la kuezekea Jengo naomba kujulishwa. Au anayepafahamu hapo kkoo anisaidie natafuta yale makubwa ambayo huwa wanafunikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habari zenu, natafuta mabati Used au yale reject kwa ajili ya kuezekea,nimeafiki hayo kwa sababu ya uwezo wangu wa kifedha unavyo niruhusu. Nipo Mlandizi
0655112023
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.