Wadau salaam kwenu,
Naamini sote tunaliona hili la Corona Virus kusambaa nchi nyingi sasa na China wenzetu wanaendelea kuona vifo vikiongezeka, na tayari imetangazwa kuwa ni Janga la Dunia. Naelewa Wizara ya Afya wana kitengo cha magonjwa ya mlipuko/ dharura, tumejipangaje kudhibiti hali hii ikiwa hata dawa za tiba still hakuna kwa sasa?
Wengine wamezuia watu wao kwenda China au mashirika ya ndege yao kizuia kwenda China, sis tunajipangaje kama taifa?
Tunaomba Mungu atunusuru na jambo hili kama alivotunusuru kwenye magonjwa mengine ya mlipuko, wito tu kwa Wizara ya Afya lioneni hili kwa uzito uliopo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini sote tunaliona hili la Corona Virus kusambaa nchi nyingi sasa na China wenzetu wanaendelea kuona vifo vikiongezeka, na tayari imetangazwa kuwa ni Janga la Dunia. Naelewa Wizara ya Afya wana kitengo cha magonjwa ya mlipuko/ dharura, tumejipangaje kudhibiti hali hii ikiwa hata dawa za tiba still hakuna kwa sasa?
Wengine wamezuia watu wao kwenda China au mashirika ya ndege yao kizuia kwenda China, sis tunajipangaje kama taifa?
Tunaomba Mungu atunusuru na jambo hili kama alivotunusuru kwenye magonjwa mengine ya mlipuko, wito tu kwa Wizara ya Afya lioneni hili kwa uzito uliopo.
Sent using Jamii Forums mobile app