Habari wakuu
Nimesoma business administration in procurement and supplies, nina diploma natafuta kazi Mwanza hata iwe internship ila wawe wananilipa. Natanguliza shukurani zangu za dhati
Mungu awabariki
Habari wapendwa,
Nina swali, nini kinasababisha infection kwenye damu kwa watoto? Nina mtoto yaani inaenda inajirudia rudi.
Tiba yake ni nini ili kuitokomeza kabisa?
Habarini jamani kwanza kabisa naomba msinizodoe mimi ni msichana nina miaka 27 natafuta kazi Mwanza nimesoma business administration nime specialize kwenye procurement and supplies nina diploma natamani nipate kazi ili niweze kujiendeleza kielimu...Mungu awabariki sana
Asanteni sana kwa ushauri wenu ni kweli nsishi mbali na mpenzi wangu inaweza kuchukua hata a year cjafanya mapenzi ila juma5 nimepanga niende regency nimuone doctor wa wamama kuhusu ofisini ndiyo kwanza nimeanza kazi nina mwezi mmoja tu...Asanteni sana kwa ushauri
Habarini wandgu mimi nmbuliwa sana na maumiu ya kiuno haijalishi niko kwenye iku zangu sipo kwenye siku zangu hata nikijinyoosha nasikia maumivu ni mwaka sasa npata haya maumivu nimeshafanya xray nimeambiwa sina tatizo doctor mwingine kaniambia nizae tatizo litaish sijawahi kutoa mimba wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.