Inasemekana kiliuzwa kwa Adam jee kipindi hicho. Kwanini baada ya kukinunua huyu mweshimiwa. Aliing'oa machine zote za kuchinjia nyama na kufanya process nyingine na kuacha magofu.
Je, kwanini serikali ilikaa kimya na huo ukiukwaji wa sheria za ubinafsishaji. Na kwa anayejua hizo machine...
Ni kweli hiki chama kimefanya watanzania tuwe waoga total ndio maana tunashidwa kutetea rasilimali zetu. nipo maeneo ya vijijini kusini huku yani hakuna redio inayoshika kabisa watu elimu ya uraia hakuna na hii ni plan kwa CCM kupata kura kiraisi kwa kuwapa pombe na nyama tuu
Mfarisayo unapotea kaka kubali mabadilika hata nje ya CCM kunamadili tuu tena yatakuwa yenye tija kubwa sana kuliko ya sasa ndan ya CCM ambayo asilimia kubwa mnatumia damu za watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.