Recent content by Goodmsoka

  1. Goodmsoka

    Ungana na wenzetu wa ughaibuni: Huu ndo mpango wao wa kusaidia matibabu ya Lissu

    Bond aliyo toa nikwa ajili ya dharura tafuta video ya uyo mbunge ndio utaelewa mfano wewe. Hapo gafla unatakiwa milioni tano utatoa wapi na unajuwa mizunguko ya bank na muda ilikuwa umeenda Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Goodmsoka

    China, Libya, Dubai, wote tulikuwa level moja kiuchumi; naweza sema Nyerere alikuwa na maono hafifu sana

    Elimu ipi aliyo wekeza aliowasomesha wote wanasaini mikataba bila kusoma mm binafsi simkubali hata Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Goodmsoka

    Hili limenitokea na roho inaniuma sana: TANESCO wanataka kufungia watu umeme kwenye transformer yangu kwa nguvu!

    Waache wafunge watumie kama mwaka kisha nenda mahakamani utajiri unakunyemelea Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Goodmsoka

    Yaliyojiri: Kesi ya Mh. Lissu ya 'Dikteta Uchwara' - Agosti 28, 2017

    Wataje kwa faida Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Goodmsoka

    Mwenye utaalamu wa majini ya pesa

    Mshanajr tupe mazara ya mizimu na utajiri wake Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Goodmsoka

    Askofu Tendwa aonya wanaolalamikia utawala wa Magufuli

    Nikweli Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Goodmsoka

    Kama ningekuwa na uwezo wa kurudi tena chuo, ningechagua geomatics engineering

    Hii ndio kiboko Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Goodmsoka

    Kufanikiwa kesi ya wabunge 8 waliofutwa huku hapa

    Kama mm ndio kiongozi wa mahakama na mm mifisadi wote nawaachia tusiingiliane kwenye majukumu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Goodmsoka

    INAUZWA KTM 690 Enduro R

    Unajuwa watu wengi hawaijuwi KTM kama huna pesa kaa kimya soma comment tu kwa mfano unautajiri wa bl moja ukanunue pikpik ya 1.8ml Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Goodmsoka

    Watu hawakumuelewa Obama wiki mbili kabla ya kustaafu

    Urusi hana Akili toka mwanzo alipo iuza Alaska kwa marekani pale ndio alipo chemka Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Goodmsoka

    Bunge la Tanzania linaongoza kwa uzuri wa ndani Afrika/Duniani kote.

    Na maamuzi yao yanafanana na uzuri uwo Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom