Aisee nimecheka sana...lakini huo ndio ukweli! Mimi nilipata mgeni last two weeks lakini alikuwa wakipekeee...alikuwa anakuja na Taulo tena akiwa kifua wazi Mezani! Muda wote alikuwa akizunguka na Taulo na bila Vest ndani hata pale ambapo walikuja wageni zake kumtembelea! Hakika nilikuwa na...
Niwashukuru Wadau na JF kwa ujumla! Baada ya uzi huu naona utaratibu umerudi kama zamani! Jana nimepita kufwatilia na kukuta Watembea kwa Miguu wakipita eneo hilo bila kizuizi! Wale Walinzi wa kampuni wenye silaha nao wamepunguzwa kwa asilimia kubwa! Leo tena nitapita kufwatilia utekelezaji!
cariha my dear...nikushukuru mnoo pamoja na Wadau wengine kuniasaidia kupaza sauti juu ya unyanyasaji unaoendelea pale Total! Ni wajibu kwa wenye Mamlaka kulitafutia ufumbuzi swala hili mapema iwezekanavyo! [emoji1431]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.