RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,834
Kuna ofisi pia mjini nyingine za serikali,zile pedestrian walkway wamezungushia minyororo matokeo yake watu wanapita barabarani.Walipojenga zile nyasi zao waruhusu wapita miguu aisee
Kuna ofisi pia mjini nyingine za serikali,zile pedestrian walkway wamezungushia minyororo matokeo yake watu wanapita barabarani.Walipojenga zile nyasi zao waruhusu wapita miguu aisee
Na hapo mtu kupita njiani ni kutafta kugongwa, yapasa town planner's waweke consideration ya mahitaji ya wote kutumia barabara, bila hivo kutesana tu sasaKuna ofisi pia mjini nyingine za serikali,zile pedestrian walkway wamezungushia minyororo matokeo yake watu wanapita barabarani.
Huyo mwezekaji kasikitisha mbona tumepita miaka na miaka nothing happened there why nowdays.Kwenye nchi za watu walioelimika na wanaojua haki zao mwekezaji hawezi kufanya huo upumbavu,raia wanamtia hasara ndani ya nusu saa tu.
Huku Bongo watu wamezubaa sana,ishu kama hiyo kwa nchi za wenzetu inashughulikiwa na raia wanne tu bila ya kushitaki mahali popote.
na wewe unaishi maeneo hayo my?Huyo mwezekaji kasikitisha mbona tumepita miaka na miaka nothing happened there why nowdays.
Yes huwa nayatumia Sana hayo maeneo hasa evening work au kwenda kula pronze na pweza tamu maeneo ya mlimani city upande wa ddc sasa kuzuia naona ni ukatili mkubwa Sana aiseena wewe unaishi maeneo hayo my?
Yes huwa nayatumia Sana hayo maeneo hasa evening work au kwenda kula pronze na pweza tamu maeneo ya mlimani city upande wa ddc sasa kuzuia naona ni ukatili mkubwa Sana aisee
Sawa mkuusawa siku moja nitakutembelea huko halafu unioneshe hiyo sehemu iliyozibwa halafu tutajua cha kufanya
nicheki pm kwa mawasilianoSawa mkuu
Basikeli ya nini sheli au ww mtembea kwa miguu sheli unaenda kujazwa nn??
Petrol station lazima ziheshimike bada sio kila mtu apite sheli tu ni dharau kwa wenye magari
Acha uongo hapo kuna supermarket na ATM na wapita miguu wanaopita hapo wapo kibao,kama unafanya jogging pita pembeni.Habari kwenu Wadau!
Sheli ya Total ambayo ipo eneo la Mlimani City imekuwa na utaratibu wa hovyo wa kuwanyanyasa Watembea kwa Miguu kwa muda mrefu!
Utaratibu huo umeanza tangu kipindi cha sherehe za Christmas mpaka leo hii! Ukiwa unatembea kwa Miguu, unaendesha baiskeli au ukiwa Mazoezini hauruhusiwi kupita kwenye eneo la Sheli hiyo!
Wapo Walinzi wa Kampuni (nitaweka Jina soon) wenye Silaha ambao wamejipanga pande zote za Sheli kuzuia watembea kwa Miguu! Utaratibu huo haukuwepo miaka yote! Iweje leo unakuja utaratibu wa ovyo kiasi hiki?
Utaratibu huo wa hovyo umepelekea watu kutengeneza njia mbadala ya kuzunguka Sheli kitendo ambao kimeendeleea kuharibu Mazingira kwa Wananchi kujitengenezea njia zao wenyewe!
Tunataka kujuzwa kama utaratibu huu ni mpya kwa Sheli za Mkoa wa Dar es Salaam na kwingineko Nchini au ni Ubabe wa wenyefedha? Itakumbukwa Sheli hii bado ipo kwenye hifadhi ya Barabara na hivyo kuzuia Service Road inayotokea Mlimani City kuja roundabout ya kuelekea kwa Mama Kamche to Calabash! Kitendo cha kuzuia muendelezo wa service road ndio maana watu wamekuwa wakipita chini ya Paa la Sheli hiyo!
Lakini kwenye Sheli kuna huduma za Kibenki, Supermarket na Biashara ya Vilainishi vya Magari nk.
Tunaomba Mamlaka zinazohusika, ikiwemo Ofisi ya RC Kunenge kuingilia kati unyanyasaji na uzalilishaji unaoendelea kwenye Sheli ya Total pale Mlimani City!
Goodluck Mshana
Umeeleweka ndugu but issue hapa sio shell au filling station issue ni kuwazuia watu kupita kwa miguu eneo hilo bila taarifa wakati walishazoea kupita hilo eneo miaka nenda rudiMkuu umechanganya sana madesa,Shell na Total ni Company mbili tofauti kabisa! Ukisema Shell ni Kampuni,Ukisema Total pia ni Kampuni,sasa hapa sema unazungumzia Kampuni ipi???
Acha uongo hapo kuna supermarket na ATM na wapita miguu wanaopita hapo wapo kibao,kama unafanya jogging pita pembeni.
Kuna maeneo waenda kwa miguu marufuku kuishi kinachowapeleka huko nini? Kama sio uchokozi ni nini?Na hapo mtu kupita njiani ni kutafta kugongwa, yapasa town planner's waweke consideration ya mahitaji ya wote kutumia barabara, bila hivo kutesana tu sasa
Unajua hilo eneo kweli au umezoea kushabikia ujinga wenu wa fisiemu Basi kila jambo unajua tu ni uccm. Hilo eneo liko KWA service road unataka Raia wapite kwenye magari mengi. Sio saa zote kutumia akili za ki ccm na ushabiki maandazi.Kuna maeneo waenda kwa miguu marufuku kuishi kinachowapeleka huko nini? Kama sio uchokozi ni nini?
Anyway Wenzetu wa Sinza mnaofanya Jogging eneo hilo, jichangeni mpate pessa kama Laki 2, iteni waandishi matata sana wawili wa TV na Wale mattata wawili wa Redio wapigeni posho wamulike hiyo kadhia kwenye media zao. Hakika hiyo Shell itaenda na Maji kwa jinsi Mhe.Rais wetu anavyopenda Wananchi Wanyonge.Imagine unaenda calabash au kwa mama kamche mpaka uzunguke mbali huko loh.
Acha tunateseka bure tu kwanza hilo eneo ni hifadhi ya barabara why ui block kwa wapita miguu, Ina maana hawana haki, ningekuwa na mamlaka ningeamuru ivunjwe tu, sasa na pale Kuna ATMs plus supermarket za nini sasa.Anyway Wenzetu wa Sinza mnaofanya Jogging eneo hilo, jichangeni mpate pessa kama Laki 2, iteni waandishi matata sana wawili wa TV na Wale mattata wawili wa Redio wapigeni posho wamulike hiyo kadhia kwenye media zao. Hakika hiyo Shell itaenda na Maji kwa jinsi Mhe.Rais wetu anavyopenda Wananchi Wanyonge.
Mission accompolished!