Recent content by GOOD-GOOD

  1. G

    Tender ya kusupply nyama ya nguruwe

    Nitumie namba yako ya cm kwenye pm tuongee bznez tafadhal
  2. G

    Ubobezi katika sheria wa Tulia Ackson ni upi?

    MIPASHO amekurupuka mkuu, akili naona ameiacha kidogo na hapa amekuja na hisia kwanza!!!!!!!!!!!!!
  3. G

    Watawala wanaposhindwa kuheshimu Ubinaadam

    wao kwa nn wanazivaa?hiyo ni inaendeleza alama za upumbavu na ulofa usio na ubora..... WASAIDIE WAJITAMBUE
  4. G

    Nimempiga mimba mke wa mtu

    KK, Dont let other person to think on your behalf
  5. G

    Sina hamu ya kusex na mke wangu

    kk tafuta mda wa kutosha wa kuwa nae, na kongea .Pia jitahid muwe na outing za kutosha coz znaongeza hisia kati ya wapendanao. Zaid ya hapo hebu jitahid kumweka ktk mazingira ambayo we mwenyew utamtaman zaid ya wale wa nje. Kama vp ni busara kumweleza juu ya hisia zako kwake ili yy afaham na...
  6. G

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Wadau, mimi ni mwalimu wa sekondari geita, pale mjini naomba mwalim wa kubadilishana nae mi niende Moshi MC au Moshi DC. Kule kuna fursa kibao ikiwemo biashara ya Dhahabu na nyinginezo. kama uko tayar, au unamjua m2 plz ni-PM
  7. G

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Wadau, mimi ni mwalimu wa sekondari geita, pale mjini naomba mwalim wa kubadilishana nae mi niende Moshi MC au Moshi DC. Kule kuna fursa kibao ikiwemo biashara ya Dhahabu na nyinginezo. kama uko tayar, au unamjua m2 plz ni-PM
  8. G

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    By GOOD-GOOD jamaa yuko Rombo sehem gan?
Back
Top Bottom