Watawala wanaposhindwa kuheshimu Ubinaadam

Watawala wanaposhindwa kuheshimu Ubinaadam

M45

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
1,461
Reaction score
2,321
Ni fedheha kwa Taifa la Tanzania na Africa kwa Ujumla kama Raia yoyote ataipigia kura CCM katika Uchaguzi wa Mwezi nov Mwaka huu.

Nasema hayo nikiwa na Uchungu mkubwa sana.

Ccm imewanyima watanzania uhuru wa kuhoji hali inayowafanya wengi kuwa waoga.

Ccm inadhalilisha Wazazi wetu ndugu na jamaa kwa kuwapa tishet na kofia cha kushangaza haijawahi hata siku moja kuwapa suruali, sasa ina maana hawa watu wanopewa tishet watembee uchi?
 
wao kwa nn wanazivaa?hiyo ni inaendeleza alama za upumbavu na ulofa usio na ubora.....
WASAIDIE WAJITAMBUE
 
mkuu punguza jazba uchaguz ni oct na sio nov

sina imani na ccm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom