Moja kwa moja kwenye mada
Tangu tuanze kusafiri kwa treni za SGR kumekuwepo na changamoto za hapa na pale. Changamoto huwa zipo lakini tunatarajia kuwe na ufumbuzi na kutokujirudia rudia kwa changamoto ya namna ile ile.
Kwenye mfumo wa ukataji tiketi kumekuwa na changamoto ya kudumu, mfumo sio...
Wakuu habari za leo.
Sijui wenzangu huko simu zenu vipi lakini siku za karibuni napata shida sana kutumia huduma za Tigo pesa na Mpesa mara kwa mara huduma haipatikani hasa jioni.
Hali hii zamani haikuwepo serious kiasi hiki ikilinganishwa na sasa.
Lakini hali ilivyo sioni wala kusikia...
Juzi niko Lumumba nimetoka kufata gari ya jamaa yangu niko naweka urembo pale wakaja jamaa wa ushuru wa maegesho.
Nikawasogelea wakascan namba ya gari wakasema inadaiwa 1,300. hiyo ilikuwa tarehe 01 Novemba, gari ilisajiliwa tarehe 31 Oktoba na iliingia Tanzania mwezi Juni.
Lile deni ni la...
Wakati wa kuomba kazi kila mtu mikono huwa nyuma subiri apate kazi anaanza hadi kuchelewa na kujibu nyodo wasimamizi wake.
Sijui kama tunawasiliana na mleta mada?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.