Kuna mtatizo ya kiufundi yametokea Mwanza ambapo wateja wetu hawawezi kupiga wala kupokea simu. Kwa sasa wanaweza kupiga Tigo kwenda Tigo. Mafundi wetu bado wanashughulikia kutatua tatizo haraka iwezekanavyo. Samahani kwa usumbufu.
Dear Customer,
Thank you for your candid feedback. It is difficult for us to assist you without further details such as your number and time of occurrence of problem. Please include such information whenever you convey your concerns.
Please note that every operator charges for calls directed to...
Nimetumia Internet Explorer, Mozilla, Opera na Rockmelt. Mpaka sasa naona bora Opera lakini zingine zaidi sijatumie. Kama kuna mwingine ametumia zingine naomba maoni yako, web browser ipi bora kuliko zote?
Asante sana Paka Jimmy, nitawasilisha mchango wangu. Je mtu akitaka kujiunga na team ya JF afanyeje? Mimi ni business graduate na niliandika masters thesis kuhusu Facebook.
Salaam nyingi ziwafikie wanajimii wote:wave:,
Rafiki yangu alipendekeza nijiunge na kwa kuangalia baadhi ya mazungumzo nimeona ni jambo jema kufanya hivyo. Kwa kweli Tanzania tunahitaji kuwa vitu kama hivi vinavyoendeshwa na wazawa na sio kupendelea tu vya kutoka nje. Naungo mkono juhudi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.