wanaharakati wa Tz wangeweza kufanyiwa ivo vitendo ila naapa hakuja aliyepigwa ata kibao ni waongo alafu wanavozidi na mapress ndo wanachekesha.. unakuta tukio limepita siku kadhaa ila mtu yupo kwenye camera na vidonda vipya kabsa…
kwasababu ukiwaangaliwa wanaonekana waongo.. mimi naijua serikali yangu trust me akuna aliyefilwa wala kuwekewa mavitu nyuma sijui.. yani wanadanganya wameenda far mpaka mtu unapata uvivu kiwasikiliza🚮🚮
chadema wanaona EU kama yesu au muhamadi.. wamefungwa akili awataki kuskiliza ata izo hoja zinatolewa wao ni yes men.. sikatai ata ccm wapo hivo ila chadema kumeoza sana
EU yenywe meli inazama kwa upande wao.. wamejenga ulaya nzima kwa kumwaga damu sehem mbali mbali kwa kupora na kuiba.. kwasasa ule ushawishi wao umesha potea ni kama watu waliojikatia tamaa baada ya kuaibishwa na trump.. namalizia kusema Tundu lisu atatuuza kwa wabelgiji asubuhi kweupe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.