Natamani hata serikali ifatilie kuhusu hilo.....
Nilipigiwa simu asubuhi ya saa 4 nikaitwa kwa jina langu vizuri na nikajua ananifahamu, kwa kuwa namba ilikuwa ngeni nikauliza nani mwenzangu, akaniambia namba zangu ulifuta nikamwambia hapana nimebadilisha simu tu hivi karibuni nikumbushe wewe...
Muhimu uvumilivu, huwez jua huyo mtu anampango gani na huyo dada, labda ni kumchafulia kwako ili huyo dada uachane nae, muhimu ni kuwa umemjua umuulize huyo mkeo vzr muyajenge, kunauwezekano ikawa ni mpango mbaya wa huyo kaka ili muachane, na umekiri mwenyw ni mpole na watu wengi wanampenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.