Recent content by Gomy Mfaume

  1. G

    Umeshawahi kukutana na Walaghai wa Mitandao?

    Natamani hata serikali ifatilie kuhusu hilo..... Nilipigiwa simu asubuhi ya saa 4 nikaitwa kwa jina langu vizuri na nikajua ananifahamu, kwa kuwa namba ilikuwa ngeni nikauliza nani mwenzangu, akaniambia namba zangu ulifuta nikamwambia hapana nimebadilisha simu tu hivi karibuni nikumbushe wewe...
  2. G

    Ushauri: Mke wangu anatembea na mfanyakazi mwenzie hadi kamzalisha

    Muhimu uvumilivu, huwez jua huyo mtu anampango gani na huyo dada, labda ni kumchafulia kwako ili huyo dada uachane nae, muhimu ni kuwa umemjua umuulize huyo mkeo vzr muyajenge, kunauwezekano ikawa ni mpango mbaya wa huyo kaka ili muachane, na umekiri mwenyw ni mpole na watu wengi wanampenda...
  3. G

    Nani ni nani leo Mtani?

    Allahumma #SIMBA tutafunga In Sha Allah 🤲
  4. G

    Mke anamnyima mumewe tendo la ndoa, nini kifanyike?

    Atafute mchepuko, ahakikishe anajua👌
Back
Top Bottom