Puuzia tu Mkuu. Utapeli wa kizamani sana, miaka zaidi ya 20 iliyopita. Kipindi hicho watu wengi hawakuwa na ufahamu wa utapeli wa mitandaoni hasa wabongo, baadhi yao waliingia kwenye mitego kama hii.
Asante sana Mkuu. Hapa kuna mengi ya kujifunza. Ni jukumu letu kama wazazi au walezi kuwalea watoto wetu vyema ili waje kuleta tija katika vizazi vijavyo. Lakini katika haya yote, tunahitaji kuwa wavumilivu sana katika kuhakikisha watoto wanapokea malezi bora. Tukumbuke usemi huu "Mtoto umleavyo...
Hahahahahah.....aiseee!! Kama ni tabia yake, basi siku hiyo ingekuwa mwisho kuwa mke wangu. Nampatia talaka sita nyingine ataenda kugawia familia yake. Mtu wa namna hii anadhoofisha ustawi wa familia na ni sumu pia kwenye maendeleo.
Kama ni mara ya kwanza, basi nitampatia muda ili nione kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.