Recent content by Golconda

  1. Golconda

    Wachungaji msitumie maneno ya kudhalilisha utu wakati wa mahubiri au semina zenu

    Mkuu, pia unaweza ukashangaa walimu wa primary wapo humo na wanashangilia jinsi mwenzao anavyodhalilishwa.
  2. Golconda

    Nimetumiwa ujumbe huu WhatsApp

    Mkuu, hawa jamaa uwa wanatumia taarifa zako binafsi kukushawishi ili wakurubuni. Suluhisho ni kupuuza tu.
  3. Golconda

    Nimetumiwa ujumbe huu WhatsApp

    Puuzia tu Mkuu. Utapeli wa kizamani sana, miaka zaidi ya 20 iliyopita. Kipindi hicho watu wengi hawakuwa na ufahamu wa utapeli wa mitandaoni hasa wabongo, baadhi yao waliingia kwenye mitego kama hii.
  4. Golconda

    Wazazi tushirikishane maarifa kidogo

    Asante sana Mkuu. Hapa kuna mengi ya kujifunza. Ni jukumu letu kama wazazi au walezi kuwalea watoto wetu vyema ili waje kuleta tija katika vizazi vijavyo. Lakini katika haya yote, tunahitaji kuwa wavumilivu sana katika kuhakikisha watoto wanapokea malezi bora. Tukumbuke usemi huu "Mtoto umleavyo...
  5. Golconda

    Angekuwa ni mke wako huyu ungefanyaje?

    Ha ha ha ha ha
  6. Golconda

    Angekuwa ni mke wako huyu ungefanyaje?

    Hahahaha
  7. Golconda

    Angekuwa ni mke wako huyu ungefanyaje?

    Hahahahahah.....aiseee!! Kama ni tabia yake, basi siku hiyo ingekuwa mwisho kuwa mke wangu. Nampatia talaka sita nyingine ataenda kugawia familia yake. Mtu wa namna hii anadhoofisha ustawi wa familia na ni sumu pia kwenye maendeleo. Kama ni mara ya kwanza, basi nitampatia muda ili nione kama...
  8. Golconda

    TANZIA Profesa Justinian Anatory afariki dunia

    Mungu ampe pumziko la milele.
  9. Golconda

    Tupate wasaa kidogo wa kujifunza kijerumani, kiitaliano na kifaransa

    Ha ha ha.....akili ku-mkichwa
  10. Golconda

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Hahahahaha...
  11. Golconda

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Hahahaha....hapo kajikuta wifey kweli kweli na ataenda kusimulia kwa wenzake, kumbe ni headache tu.
  12. Golconda

    Wakala Wa Benki

    Hahaha.....hapo lazima ulipe tu huo mkopo. Utapasua hadi na kibubu kabisa umpe jamaa na nauli...hahaha
  13. Golconda

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Chai ni moja ya vinywaji vya zamani zaidi na maarufu zaidi baada ya maji. Chanzo: do.you.know_facts
Back
Top Bottom