Jeff Bezos tu peke yake anaweza kuunda jeshi lake, na kununua au kutengeneza silaha zake iwapo ataruhusiwa na kwenda kuipga Iran. Fuatilia tu missions zake za kulaunch vifaa mwezini na communication satellites 3500.
Iran wanasupport vikundi kibao usiku na mchana ili viipige Israel (unavijua, sina haja ya kuvitaja), lakini hawajaweza, sasa huwa najiuliza uwezo wa huo mkubwa mnaounadi hapa ni upi hasa?
Kiranga nina majukumu mengine mengi ya msingi zaidi ya kushinda JF na kulumbana na wewe. Kwa hiyo elewa kuwa sijakimbia. Lakini ili uamini kuwa wewe ndio una hoja na kufurahi, tufanye kuwa umeshinda na umeweza kuthibitisha pasi na shaka kuwa Mungu hayupo.
Welcome to Open Discussion Forums, The Home of Critical Thinkers!
Open Discussion Forums is a place where you can make a big difference, it gives you an opportunity to learn how to think, foster your mental faculties and broaden your scope of knowledge by sharing valuable skills and...
Welcome to Open Discussion Forums, The Home of Critical Thinkers!
Open Discussion Forums is a place where you can make a big difference, it gives you an opportunity to learn how to think, foster your mental faculties and broaden your scope of knowledge by sharing valuable skills and...
Hiyo proof unayong'ang'ana nayo kaprove classically kuwa ni wrong, huwezi au unabisha? Nani kaleta hii topic
Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe? Can you prove that there is no possibility of God in our universe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.