Yani mkuu wewe yanayotokea hapa Tanzania huyaoni wala kuyasikia .....?
Juzi Bunge lilikuwa linajadili kupigwa kwa wafuasi wa CUF, ndio yale yale.......
Mkuu naomba ufwatilie vzr hili swal, wafanykazi wake amewajengea kama motisha kazini, na kuna mama anafanya kazi pale kariokoo lile gali kapewa kama motisha, Nyambari nimsomi anatumia taaluma yke vzr ndo maana yupo alipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.