naunga mkono hoja lakini sharti unielewe mkuu, hivi unahsi itatokea serikali hawatapiga kama wanaopiga hakuna hatua zozote tangia Uhuru? ifike mahali fedha ya umma iogopwe hapo tutaendelea kama Taifa. Anayefanya ufisadi anakula shaba huyo ni sawa na mhaini.
Dola manake ni chombo kinachoundwa na watu ambao anaweza kuwa wewe, mimi au yule, shida yetu kama Taifa na Afrika kwa ujumla ni UBINFSI. yani upo tayari kula fedha za kununulia madawa hospitali bila shida yeyote.
Seikali ya CCM inaongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassani ambaye wazi kabisa ameonyesha kuchukizwa na yanayofanyika, hapa jibu sahihi nikuwa watanzania tunakosa uzalendo ninahakika hata ingekuwa CHADEMA kwa muonekano wa viongozi wake hali ingekuwa mbaya zaidi. Shida kubwa na hii ni Afrika kwa...
adhabu ni zaidi kwa anayefaham, hivi unafahm kwanini ukiritadi unaktwa kichwa lakini mkristo haruhusiwi kufanywa chochote zaidi ya kulinganiwa?
jibu ni kuwa wewe tayari umeshafahamu haki unaleta kiburi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.