namaansha nilikuwa nafundisha chuo cha mifugo ambacho kipo under VETA, huko kgezo ni uwe una elimu ya kuanzia diploma ila masuala
ya kusomea ualim hawafuatilii! hvo nahtj kweny vyuo ya namna hyo.
pole sana kwa hilo,kitu cha msing ni kumweleza Mungu aliyekupa ndoa maana anaona mpaka sirin(ndan ya moyo) nakuhakikishia atabadilika kabisa pia mambo ya ndoa si ya kwenda kwa majiran maana weng watafurah matatzo yako na kukupa ushaur usiofaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.