Maraisi wengi hufanya hivyo, ila hawakai kwenye official occasion hivi! wanaonekana kwenye misafara, but kwenye mambo ya kiserikali hawaonekani! Lakini hapa Rais wetu kijana kwenye msafara haonekani, ila anaonekana kwenyedhifa! :sick::sick:
Duh yuko juu, lakini si anatumia kabajaji kake, JET,
Is very comfortable, asingependa ashuke chini, ingewezekana ni angani mda wote!!!!!
Kodi zetu awekea JET mafuta
Hao CCM ndio mwisho wao umefika, wasome nyakati waanze kujiandaa kukabidhi badara, yasiwakute ya Hossin Bubarck, wataaibika!
Danga toto ilishapita, Watanzania wamefunguka macho hawadanganyiki tena!!
Peoples' Power ndio fimbo ya mjonge!!!
Mapambano yanaendelea, hatukubali kuonewa na...
Tunategemea kuona hao waliotajwa wanawajibika/wajibishwa na pia isitumike siasa katika jambo hili, maisha ya Binadamu ni kitu cha thamani kubwa sana! tutashangaa kuwaona wakiwa kimya na Boss wao akiendelea kulifumbia macho hili kama lile la Mbagala!
Mapambano bado safari ni ndefu!!
PEOPLES...
Mtu mzima kuomba radhi kuwa nilikosea ni jambo la busara zaidi na hekima!!
Spika akiri tu pale alikosea mambo yanaisha, na ataonekana muungwana zaidi!
Aliombwa muongozo wa Spika yeye kahukumu mtu katukana!!!!!!!!
Chadema tupambane lazima kieleweke!!!
Alilofanya Mzee pinda halishangazi sana kwa sababuu ametumia principal ya vita "IF YOU CAN'T FIGHT THEM JOIN THEM" Wakati alipokuwa mtoto wa mkulima alijitahidi kuwa mmkweli hadi analia bungeni kwa sababu ya machungu, Lakini sasa sio yule tena, ameshkuwa upande wao zamaniiiiii!!! sijui labda...
Kwanza mimi naung Mkono walichofanya CHADEMA 100%.
Unapopinga jambo inabidi kufanya kwa vitendo, na walichofanya wanaharakati wa CHADEMA wamewaonyesha wachakachuaji kuwa hawakubaliani na fikra na mawazo yao hata kidogo.
Na huo ni mwanzo tu, tunawapa taarifa wajipange vizuri mbeleni mambo...
Mgombea anaefaa kuwa Rais ni Dr. Wilbrod Slaa.
Sababu! Sere ya elimu Bure pamoja na kubadilisha Katiba na kupitia upya mikataba wa wawekezaji ili kuondoa aina yeyote ya ukandamizaji au wizi uliofanyika wakati wa kusaini mikataba hiyo.
Lema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.