Kitendo cha CHADEMA kutoka ni tukio la kawaida katika medani za siasa, Nawashangaa sana hawa mafisadi ambao wanaona ni kitendo cha ajabu. kwani kusikiliza hotuba mpaka uwepo mjengoni? Waacheni CHADEMA huenda walikuwa na mambo yao ya muhimu. Isitoshe hata baadhi ya wabunge wa CCM wanaopinga ufisadi jana hawakutia mguu mjengoni sasa hao nao mnasemaje?
Tatizo ni kuwa kinawauma kishenzi! Hicho kitendo kimetia doa historia ya Kikwete na chama chake. Legacy yake aliyotaka kuiacha wont be read the way he wanted it to be read. Kwake ni total humiliation apende asipende.