Recent content by Gods grace

  1. G

    Naacha buku 15 daily nakuta ugali na dagaa

    Jamani cku hizi vitu vingi viko juu sana! Samahan mnaishi wapi kwani???
  2. G

    Imekuwa matatizo sasa...

    Mwombeeni tu kwa Mungu muweza wa yote! Yupo kwny ukuaji huyo ataacha mwenyewe mi kakaangu mpaka ilifikia tukahisi amerogwa maana yy alikua zaidi ya huyo bt kwa huruma za Mungu aliacha mwenyewe!
  3. G

    Mke kanisusia nyumba, kaniacha na house girl

    Tatizo mpendwa hujasema ni kwann kaondoka mana c rahic mtu aache nyumba yake bila sababu! Mna ugomvi au ni nn??
  4. G

    Nikitembea na mwanamke mwendo unabadilika...

    Teh teh teh teh iseee hii kali duh
  5. G

    Learning to love..ts so beautiful!

    Nice story!! Nasubiria muendelezo..........
  6. G

    Nimwambie au ninyamaze? Nimechanganyikiwa

    Ingawa itamuuma sn mdogo wako ila ni bora akujua ukweli! So we mwambie tu.......
  7. G

    Hodii!

    Asante Kabanga!
  8. G

    Hodii!

    Naomba kuwa miongoni mwenu wapendwa!!
Back
Top Bottom