Salam wanajf
Kuna ndugu yangu kachaguliwa SUA Agrobussiness kwa mujibu wa profile yake ya TCU inavyoonyesha ila jina lake halipo kwenye majina ya first batch selection yaliyopo kwenye website ya chuo hivyo amebaki njia panda hajui afanyeje
msaada wa mawazo wanajukwaa
Nieleweshe vizuri mambo ya elimu sina uelewa nayo kwa hyo kama tcu washamchagua ajiandae kwenda tu hata kama kule jina halijatokea au
kwa jinsi nilivyokuelewa
Salam wanajf
Kuna ndugu yangu kachaguliwa SUA Agrobussiness kwa mujibu wa profile yake ya TCU inavyoonyesha ila jina lake halipo kwenye majina ya first batch selection yaliyopo kwenye website ya chuo hivyo amebaki njia panda hajui afanyeje
msaada wa mawazo wanajukwaa
Serikali leo bungeni kupitia tume ya waziri mkuu imefuta matokeo ya kidato cha nne na kusema kuwa mitihani itasahihishwa upya
SWALI LANGU NI:> "*KAMA WATASAHIHISHA MITIHANI HIYO UPYA MATOKEO YATAKUWAJE KWANI WALE WALIOKATA RUFAA NA KUSAHIHISHIWA MBONA MATOKEO YAO HAYAKUBADILIKA, NA KAMA...
ah kweli kwel fulu majungu kwanza huo ni wizu jinsi anavyocheza na internet kwa we mwenyewe hi thread umeiandika masaa ndo ukaipost kwenda huko jinga hilooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.