Recent content by Godisgood2015

  1. G

    Two Indian police suspended over Tanzanian student attack

    Dah umechelewa kujua ..........hapa kwetu kafukuza karibu 80% ya staff wake kisa akuharifiwa ujio wa mkuu sasa linacomplain kuzidiwa kazi
  2. G

    Nimemzuia mke wangu kupanda lift ya jirani, lakini amekaidi

    mwachie gari wewe ukomae na public transport .......... pia si kila mwanamke ni maharagwe ya Mbeya ondoeni hizo fikra kichwani mwenu
  3. G

    Wenye Mavogue wote sasa waangaliwe Tax paying records

    Elimu haishii kufanya na kufaulu mitihani
  4. G

    Siri ya waliotumbuliwa NIDA yaanikwa

    uko dunia gani ?
  5. G

    Wenye Mavogue wote sasa waangaliwe Tax paying records

    Tukifikiria zaidi tutamuelewa mtoa mada ......... Binafsi nimeelewa ......serikali yetu iongezee tax base yake tu wote tutaguswa
  6. G

    Hivi wabunge wa CCM wako kwa ajili ya maslahi ya wananchi au ya Chama?

    Personally CCM wananikwaza sana hata kama sikuwachagua .......... Mr President why this minister ? Yaani katika CCM wooooooooooooooooooooooooooooote umemuona huyu anatufaaa
  7. G

    Bunge laahirishwa ghafla, ni baada ya Zitto kuomba Muongozo

    Nashauri kama gharama ni kubwa waruhusu private media warushe live
  8. G

    Masikini Dr. Slaa, Nyumba yake yapigwa mnada

    Inawezekana kwa kweli kwa imani yangu ndogo najua yale mafuta wanayopakwa wakipewa upadrisho ni kiapo cha maisha na Mungu .....Mungu amsamehe maana sasa naona kama dah Ila mzee ana pesa ataikomboa tu
  9. G

    Tulivunja mahusiano na Israel, we gained nothing, then we lost all

    Kweli kabisa Inawezekani elimu hii sina ebu nielekeze vizuri nielewe hata kwa reference tu
Back
Top Bottom