KOCHA wa Yanga, Marcio Maximo na kiungo Mbrazil, Andrey Coutinho, wamewasikia Simba kisha wakacheka sana, unajua kwanini? Simba baada ya kumuona straika,Genilson Santos ¡®Jaja¡¯ juzi Jumatano Uwanja wa Taifa walibeza sana wakadai kumbe hana lolote ni maneno tu ya kishabiki mtaani.
Simba...