Labda ujaribu kunieleza wewe na uwezo wako mkubwa wa kufikiria abbreviation ya Pyschology ni ipi?....Sio kila jambo linahitaji kukaza ubongo sawa ndugu
Sijamaanisha ulichokielewa wewe walio nielewa nazani umeona wamenijibu. Usikurupukie kitu jaribu kulegeza akili uelewe hata kam kuna makosa ya uandishi.
Actual sina mpango na political matters my nahitaji ku deal na jamii na kuhusu kusoma ni mpaka sasa nimesoma vitabu vingi na hata elimu ninayochukua chuo ni inahusu pia mambo ya jamii ninachohitaji ni groups za watxap and organisation ambazo zitaniiunua from my individual effort
Habari zanu wapendwa ninachohitaji ni ushauri na Hata msaada kwa ambaye anaweza kunisaidia kufikia ndoto zangu. Nina Ndoto zakuja kuwa Speaker,motiveter & informer hasa katika mambo yanayo izunguka jamii yangu na Nafsi yangu inaamini nina iyo Taranta na nguvu ya kufanya hivyo vitu ila nashindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.