Hapa yawezekana hata wewe mwanamke kuna mabaya uliyomfanyia huyu jamaa japokuwa sijui, pengine tungemsikiliza mwanaume angekuwa na ya kukulaumu wewe maana wanawake nao sometimes ndiyo kikwazo tena kikwazo hasa japo si vizuri kutomhudumia mwana wa damu yako. Kama Mungu amekujaalia kipato...
Hapa naona pumba tu hakuna hata mantiki kumuongelea Nyerere ambaye hayupo lakini akili yako na ya bibi yako mkizichanganya kwa pamoja hamuwezi kumfikia Nyerere yeye hayupo lakini maneno yake yanaishi
Sisi watanzania tulichotaka ni umeme, bila kujali kampuni ni nani, ni ya wapi au inamilikiwa na nani..... Nadhani hapa kuna tatizo, maana huwezi kumuokota tu mtu bila kujua japo background yake na kumleta nyumbani kwako ili akupe huduma, vipi akikuibia utamtafutia wapi? Mtu ambaye unaweza...
Kama amemfunga Kamba za viatu kweli na akapigwa picha udhalilishaji uko wapi? Kama hiyo picha imeeditiwa sawa ni udhalilishaji lakini Kama kafanya kwa mapenzi yake sioni udhalilishaji
Usitoe hiyo mimba dada kumbuka kila kitu hutokea kwa sababu. You never know kwanini imetokea hivyo. Omba Mungu maana anajua zaidi na ana sababu na wewe
Kijana mzima na akili zake timamu pengine mzazi wake kajitahidi kumsomesha angalau aje amsaidie baadaye leo hii maisha yake bado magumu lakini unakuta anachukuwa muda mwingi sana kuishabikia ccm kana kwamba yeye hajui madudu, ulafi, ukandamizaji na mipango mibovu inayofanywa na ccm. Huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.