Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na timu ya wataalamu wa Tanzania na Morocco wanaoshughulikia ujenzi wa uwanja wa michezo katika Jiji la Dodoma, unaotarajiwa kujengwa kwa msaada wa Mfalme wa Morocco Mtukufu Mohammed VI.
Balozi wa...
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Iramba mkoani Singida, Simon Tyosela amesema hatua hiyo itasaidia kwa kiasi kikubwa kuinua ukusanyaji mapato ya Halmashauri mbalimbali
-
Alitoa ushauri huo, kutokana na kauli ya Mkuu wa Mkoa, Dkt. Rehema Nchimbi aliyoitoa wakati wa Kikao Maalumu cha Kamati ya Ushauri...
Rubani wa Ndege ya Saudia SV832 akiomba kuruhusiwa kurudi tena katika uwanja wa Ndege mjini Jeddah, Saudia baada ya Abiria wake mmoja ambae ni Mwanamke kumsahau Mtoto wake Airport baada ya Ndege yake kuruka kuelekea Kuala Lumpur Malaysia, Rubani huyo aliruhusiwa baadae na kuigeuza Ndege hiyo...
Shehena ya samaki wenye sumu kutoka nchini China wateketezwa katika dampo la Pugu Kinyamwezi Jijini Dar Es Salaam , zoezi lililosimamiwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh.Luhaga Mpina.
Shehena ya samaki wenye sumu kutoka nchini China wateketezwa katika dampo la Pugu Kinyamwezi Jijini Dar Es...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.