Recent content by godfrey Dalali

  1. G

    Upepo wa Membe mtaani usipime

    Mende ataongoza makabati na chooo sio hii Nchi ambayo tupo watu na akili zetu... Mende atabaki kuwa Mende halafu usimlinganishe Mh Raisi JPM na Mende
  2. G

    Fatma Karume: Kisheria likizo za Majaji nje ya nchi zinapaswa kugharamiwa na Serikali

    Embu tuambie kazi gani ya kutumia kisomo na kazi gan ya kutumia akiliii
  3. G

    Kumbe Lazaro Nyalandu anakimbia mambo !!

    Ni haki yake kikatiba kila LA heri uendako tutapambana kwenye uchaguzi.... Ndo utajua CCM ni nini. Hapa kazi tu.
  4. G

    Mwakyembe atinga hadi maskani kwa nahodha wa Serengeti Boys na kushangazwa

    Big up mwakyembe fatilia uinue timu yetuuuu TFF ni jipu
  5. G

    Pwani: Askari Wawili wa Usalama Barabarani wauawa kwa kupigwa risasi Kibiti

    Mungu alitie nguvu jeshi letu jatika kipindi hiki kigumu lakin naamini hii vita tutadhinda na wote watatiwa nguvuni
  6. G

    Maajabu ya Wabunge wetu: "Double Taxation" katika Road License, na Wabunge wanashangilia?

    Bavicha mkajipange acheni kupingaaaa tuuuu... hii ni serikaliii makini saaaanaaa..... acheni porojo na kulalamika kila kituuu.. fanyeni kaziiiiii..... hapa kazi tu...
  7. G

    Mwenyekiti wa chama cha upinzani kuteuliwa mkuu wa mkoa (katiba ya CCM) akikubali ni kukosa uelewa

    Mmshaambiwa mkuu wa mkoa ambaye ni mwana ccm kama yeye sio mwana ccm aingie kufanya nn
  8. G

    List ya wabunge wanaojua kusoma na kuandka

    Hyo ya nchambi ni uongo
  9. G

    Rais Magufuli ameweka nguvu kubwa kwenye wizara aliyokuwa anaiongoza tu.

    Hakuna kitu cha bure.... Serikali haiwez gawa dawa bure LA kwenye chronic diseases...... Hapa kazi tu.... Twende kazi... Speed 120 kwenye kona shika bomba.......
  10. G

    BlackBerry yarudi upya na simu itakayofunika asilimia kubwa ya simu zilizopo sokoni

    Watu wengi tunapenda button... Ni heri wawe tofauti...
  11. G

    Simba apewa point zake 3 dhidi ya Kagera sugar

    Mimi ni shabiki wa simba lakini hizi club zinaharibu Mpira. Na sisi simba niwazembe I am not proud for that... Kagera waliofanya uhuni na simba iliyopewa point
  12. G

    Rais Magufuli aamuru Ney wa Mitego aachiwe huru na wimbo wake upigwe vituo vyote redio na TV

    Well done my president... Wapi na wanao shinda kwenye mtandao bila kyfanya kazi
  13. G

    Anaandika kada mkongwe wa CCM kuhusu uamuzi wa Magufuli juu ya Makonda

    Kwan yeye akipenda shilawadu kuna ubayaa gani na yeye binadamu kama wewe..... Kwa hyo sio mbayaaaa.... Kuhusu hill LA bashitee tuache vyombo vifanye kazi yake watatupa maelezo mazuriii tu tusihofu...
Back
Top Bottom