Rais Magufuli ameweka nguvu kubwa kwenye wizara aliyokuwa anaiongoza tu.

Mwene chungu

JF-Expert Member
Nov 12, 2016
915
752
IMG-20170415-WA0005.jpg

Salute!.

Heri ya Passover feast kwa wkaristo wote!.

Nimekuwa namfutalia sana Rais wangu kipenzi tangu aingie madarakani,nikikumbuka ile fedha iliopatikana baad ya kustisha sherehe kadhaa kiasi kikubwa ilipelekwa kumalizia ujenzi wa Barabara pale Moroco(Dar).

Baada ya hapo kidogo alinunua vitanda pale mhimbili,Mara ndege kiufupi usfari na Miundo mbinu ndio concern yake kubwa..kilimo walaa,afya,wala,uhmm....

Lakini kwa kiwango kikubwa bado anafanya kama vile amejisahau kuwa yeye sio waziri tena.

Miradi yote mikubwa bado ni miundo mbinu tu. Nia inaweza kuwa ni njema lakni kama rais hatakiwi kufkiria eneo moja tu madhara yake ni makubwa sana kwa ustawi wa taifa.

Tendo la wagonjwa kugomea zawadi ni UJUMBE TOSHA KUWA KUNA SHIDA YA DAWA HUKO MAHOSPTALINI.ukizingatia pia mzunguko wa hela sio mzuri sana hasa kwa watu wa kipato cha chini..
 
Kweli kabisa mkuu,dereva alifaa kua tan-boi kosa tajiri alimpa gari sababu ......
Na tatzo kubwa sana Waziri mkuu mpole sana,hii inapelekea mawaziri au cabinet nzima kuwa so loyal and lenient kwa rais kias kwamba hawasimamii wanachopenda kifanyike kwa sababu ya kuogopa kutolewa kwenye nafasi zao
 
Jamaa wa chato ameshafeli huyuu...hana kipaumbele,
huwez kufanya kazi bila vipaumbele,...kolomije styles
 
View attachment 497100
Salute!.

Heri ya Passover feast kwa wkaristo wote!.

Nimekuwa namfutalia sana Rais wangu kipenzi tangu aingie madarakani,nikikumbuka ile fedha iliopatikana baad ya kustisha sherehe kadhaa kiasi kikubwa ilipelekwa kumalizia ujenzi wa Barabara pale Moroco(Dar).

Baada ya hapo kidogo alinunua vitanda pale mhimbili,Mara ndege kiufupi usfari na Miundo mbinu ndio concern yake kubwa..kilimo walaa,afya,wala,uhmm....

Lakini kwa kiwango kikubwa bado anafanya kama vile amejisahau kuwa yeye sio waziri tena.

Miradi yote mikubwa bado ni miundo mbinu tu. Nia inaweza kuwa ni njema lakni kama rais hatakiwi kufkiria eneo moja tu madhara yake ni makubwa sana kwa ustawi wa taifa.

Tendo la wagonjwa kugomea zawadi ni UJUMBE TOSHA KUWA KUNA SHIDA YA DAWA HUKO MAHOSPTALINI.ukizingatia pia mzunguko wa hela sio mzuri sana hasa kwa watu wa kipato cha chini..
Achabkuwa mjinga miundo mbinu ndio kila kitu bila miundombinu mizuri uchuni haukuwi kwa Kasi. Acha ujinga elimika chuki Na mkuu zinaturudisha njuma sana
 
Achabkuwa mjinga miundo mbinu ndio kila kitu bila miundombinu mizuri uchuni haukuwi kwa Kasi. Acha ujinga elimika chuki Na mkuu zinaturudisha njuma sana
Uko sahihi kabisa wewe muelevu,mim mjinga najua umhimu wa Rais kuhudumia wizara zote sawa,nimezungumzia kuhusu kilimo,afya ,elimu kwani hivi kipaumbele..kusema tundio kila kitu sikuelewi
 
Achabkuwa mjinga miundo mbinu ndio kila kitu bila miundombinu mizuri uchuni haukuwi kwa Kasi. Acha ujinga elimika chuki Na mkuu zinaturudisha njuma sana
Mahospitalini hakuna madawa nabuhaba wavmadaktari ni wa kutisha halaf bado unakuwa na ujasiri wa ujinga! Eti 'miundombinu ndo kila kitu'! Mimi wa huku Loolera Kiteto miundo mbinu ya Dar na bombadia/dream liners haziniletei huduma za kijamii karibu. Alaf unamwambia mwezio aache ujinga! We unaufahanu ujinga kweli? Anyway, nafikiri sasa ubaufahamu ujinga!
 
Kumbe na wengine mmeliona hilo..Nenda pale Muhimbili kwa sasa machozi yanaweza kukutoka kina Ummy na Kibwangala wa napiga siasa tu lakini kiukweli hawana Bajeti hata za kununulia betri za ultrasound
 
Nadhani lori ni bovu sasa akisikiliza sana makelele litapoteza uelekeo na kutumbukia mtoni.
 
Hakuna kitu cha bure.... Serikali haiwez gawa dawa bure LA kwenye chronic diseases...... Hapa kazi tu.... Twende kazi... Speed 120 kwenye kona shika bomba.......
 
Kwa hiyo kutumbua mafisadi ni wizara yake, kutembelea mhibili na kuwapa vitanda ni wizara yake, elimu bure ni wizara yake?
 
Mkuu anajitahidi kufukia mashimo aliosababisha wakati akiwa waziri. Kuna jamaa alinitonya kuwa barabara zimetengenezwa kwa kiwango cha chini sana na tuhesabu miaka mitano tu hizo barabara na madaraja yatakuwa hoi bin taabani.
 
Back
Top Bottom