Pumu ya ngozi dawa yake ni betamethasone cream, akishapona unaichanganya na vaseline blue seal ya South Africa yanakuwa ndio mafuta yake. Alitibiwa hivyo mwanangu na Dr Rahim Wa Regency
Mimi pia ni O-ve na husby ni O+ve . niliambiwa mtoto wa kwanza atakuwa safe if and only if hujawahi pata ujauzito before .so immediately baada ya kujifungua wakati wa kukata kitovu kama sikosei mtoto anachukuliwa damu, Kama atazaliwa sawa na mama I mean damu rhesus -ve hakuna shida coz mtoto...
Salaam. Unaombwa ufike na mtoto wako mwenye shida ya moyo siku ya JUMATATU, APRILI 18, 2016, SAA 3 ASUBUHI katika KLINIKI YA TAASISI YA MOYO MUHIMBILI ili alazwe kwa ajili ya kuonwa na madaktari wa kigeni wa upasuaji wa moyo. Upasuaji huo wa moyo ni bure ILA utahitajika kuchangia laki tano kwa...
habari ndugu zangu?kwanza napenda kumpongeza katibu wetu kwa juhudi zake za kujenga chama ila namshauri apumzike sasa kwani kelele zake zinaenda kinyume na mawazo ya m/kiti wake.
mfano:kinana anapinga ufisadi wakati kikwete unasapoti ufisadi.
je sisi tumsikilize nan?
nawakilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.