Msaada: Daktari kaniambia mke wangu hawezi kupata mtoto kwa sababu tunatofautiana rhesus factor

Kama ni mimba yake ya kwanza mtt atasurvive ,ila baada ya kujifungua ndani ya masaa 72 lzm mtt apimwe blood group na kama itakuwa ni + lazima mama achomwe hiyo sindano ili akibeba mimba ya pili isiharibike.Na kuhusu bei inaweza ikawa kweli hiyo laki nne mie nilichoma mwaka 2011 ilikuwa laki na ishirini.
 
Baada ya Hizo Sindano kuna uzao Mwema kweli? Na mtoto hatokuwa na matatizo baadae? ni vyema kama binadamu tumegundua haya ni vizuri watu wawe wanapima ionekane wanaendana ndipo waoane... kuliko kuja kuzalisha watoto watakaoteseka duniani...
 
Mimi pia ni O-ve na husby ni O+ve . niliambiwa mtoto wa kwanza atakuwa safe if and only if hujawahi pata ujauzito before .so immediately baada ya kujifungua wakati wa kukata kitovu kama sikosei mtoto anachukuliwa damu, Kama atazaliwa sawa na mama I mean damu rhesus -ve hakuna shida coz mtoto atakuwa ametengeneza kinga ya wadogo zake. akizaliwa sawa na baba ndipo ulazima wa anti D unatokea within 72 hrs .mwaka 2011 anti D iliuzwa 150000 JD PHARMAS . nashauri mhusika afanye window shopping ya hiyo dawa mapema na aandae mtu wa kuipeleka hispitali ikithibitika mtoto ni rhesus positive.
 
Firstly, try not to worry. All rhesus-negative (RhD-negative) mums-to-be are offered an injection of a substance called anti-D immunoglobulin. This injection will prevent any harm to your baby from rhesus incompatibility.
If you're rhesus-negative and carrying a rhesus-positive (RhD-positive) baby, problems can arise if some of your blood mixes with your baby's during pregnancy or birth. There's a risk that your immune system will produce antibodies against your baby's blood. This is likely to cause anaemia and other problems in your baby or in future pregnancies.
The injection will ensure this doesn't happen. However, it can be useful to know your baby's dad's blood type, as it may help you decide whether you need the injections.All of us belong to one of four blood groups: A, B, AB or O. Except in very rare cases, it doesn't matter if you're a different blood group to your baby's dad. What does matter is the rhesus factor, whether or not you're rhesus-positive (RhD-positive) or rhesus-negative (RhD-negative).
People who are RhD-positive have a protein on their red blood cells called D antigen. If you're RhD-negative, you don't have this.
We inherit the rhesus factor from our parents. Around 85 per cent of people from white European backgrounds have RhD-positive blood. For people of African and Asian origin, the figures are 94 and 90 %.
Most of us are RhD-positive because we each inherit two copies of the rhesus gene, one from each parent. These genes are either positive or negative. The positive gene is dominant and always wins out.

If you inherit one positive and one negative gene, you will be RhD-positive.

  • If you inherit two positive genes you will also be positive.
  • If both parents are RhD-negative, there's no chance that any of their babies could be RhD-positive. This is because neither parent has a positive gene to pass on.
  • If both parents are RhD-positive but both carry one positive and one negative gene, the odds are that their baby will be rhesus-positive, too.
  • However, it's also possible for those same parents to have a RhD-negative child if they both pass on their negative gene to their baby.
  • If one parent is RhD-negative and one parent is RhD-positive, their baby could be RhD-positive or negative.
All mums are offered blood tests early in pregnancy to find out their blood group and rhesus status. Partners, however, aren't routinely tested, though you might consider asking if it could be done. If your partner turns out to be negative then your baby will also be RhD-negative and there's no chance of rhesus incompatibility.
If there's any doubt in your mind over who has fathered your baby, you may want to think carefully about whether your partner should be tested. It's impossible for an RhD-negative man to father an RhD-positive baby (if the mum is also RhD-negative). So, if your partner is found to be negative and your baby is positive, he can't be the father. If you can't find out your partner's status, don't worry. The anti-D injections will protect your baby from the risk of rhesus incompatibility

Hii inaitwa RHESUS FACTOR INCOMPATIBILITY

Wanaathirika ni wanawake wote ambao atakuwa na blood group yenye rhesus factor yatofauti na aliyonayo mtoto alietumbo

Kwa uelewa wa kawaida tu ni kuwa wakati wa kujifungua mtoto wa keanza ata survive lkn kwasababu mwili wa mama unakuwa hauja being alerted kuwa kuna kitu tofauti lkn kwa mimba 2 na kuendelea haitawezekana kuzaa mtoto hai kabisa kabisa
Na hiyo mimba ya 2 ichukuliwe kuwa ni mimba yoyote ile hata km iliharibika au ilikuwa aborted

Natambua hivyo
 
Mkuu sina maelezo ya kitaalam ila kuna ndugu yangu alikua na hilo tatizo alijifungua salama, alichomwa hiyo sindano iligharim 80,000/=. Nilihoji sana nikaambiwa o- inaona kitu chochote cha tofauti kama adui, kama mtoto akiwa na V+, damu ikienda kwa mama inatengeneza anti nini sijui ili kumkinga mama, sasa hiyo kitu ikirudi kwa mtoto inamuua. Hiyo sindano ndio kazi yake kuzuia hiyo kitu pale inapotokea damu zimachanganyikana. Layman version
Layman version imekaa sawa!
 
Jamani waungwana naombeni msaada,

Kwa madaktari nimetoka hospital na wife wangu tumepima vipimo vyote tuko poa ila tatizo kwenye blood group yeye ana O negative na mimi nina B positive kwa maelezo ya daktari kasema hapa kuna uwezekano mke wangu akawa hapati mtoto na hata kama akipata basi mtoto atakufa kwa sababu group zetu haziendani halafu mke wangu ni mjauzito.

Nipeni ushauri hapo ndugu zangu.
Siku hizi kuna sindano
Namba ya daktari bingwa 0713493189
 
mimi nina A- tofauti na mwenzangu, nilijifungua salama kabisaa nashkuru na mototo hana tatizo lolote mpaka leo,,,ni kwamba kama mtoto atafata group lakwako ambalo ni negative basi hakuna haja ya ww kuchoma hiyo sindano la kama mtoto atafata group la baba ambalo ni positive itamlazimu mama achome hiyo sindano ndani ya masaa 72 baada ya kujifungua, kwakipinde kile mwaka 2013 hiyo sindano ilikua inauzwa laki mbili maduka ya pale muhimbili cjui kwasasa.
kuwa na amani utajifungua salama kwa uwezo wa Mungu lamuhimu ni kutafuta hiyo sindano mapema ili mtoto atapogundulika na group positive uweze kuchoma hiyo sindano.
 
mimi nina A- tofauti na mwenzangu, nilijifungua salama kabisaa nashkuru na mototo hana tatizo lolote mpaka leo,,,ni kwamba kama mtoto atafata group lakwako ambalo ni negative basi hakuna haja ya ww kuchoma hiyo sindano la kama mtoto atafata group la baba ambalo ni positive itamlazimu mama achome hiyo sindano ndani ya masaa 72 baada ya kujifungua, kwakipinde kile mwaka 2013 hiyo sindano ilikua inauzwa laki mbili maduka ya pale muhimbili cjui kwasasa.
kuwa na amani utajifungua salama kwa uwezo wa Mungu lamuhimu ni kutafuta hiyo sindano mapema ili mtoto atapogundulika na group positive uweze kuchoma hiyo sindano.
Asante sana kwa ushauri
 
Alichosema yeye kwmb kuna sindano ya dawa anatkiwa achome itagharimu laki 4
Pole sana,ila tafuta pesa uokoe familia yko mtoto na kudumisha pendo kwa mkeo pesa c kitu kwa familia,hyo kitu niliiona kwa jiran yangu mkewe mimba zilikuwa zikiharibika kama mara mbili,baada ya kwenda kwa daktari ushauri alioupata ni sindano alikuja kuniambia ni ya gharama sn na si mara moja atachomwa,jamaa alipigana meshapata watt wawili ss ila sindano ndyo zinazookoa mtt
 
Hii inaitwa RHESUS FACTOR INCOMPATIBILITY

Wanaathirika ni wanawake wote ambao atakuwa na blood group yenye rhesus factor yatofauti na aliyonayo mtoto alietumbo

Kwa uelewa wa kawaida tu ni kuwa wakati wa kujifungua mtoto wa keanza ata survive lkn kwasababu mwili wa mama unakuwa hauja being alerted kuwa kuna kitu tofauti lkn kwa mimba 2 na kuendelea haitawezekana kuzaa mtoto hai kabisa kabisa
Na hiyo mimba ya 2 ichukuliwe kuwa ni mimba yoyote ile hata km iliharibika au ilikuwa aborted

Natambua hivyo
Sawa nashukuru kwa mawazo
 
Jamani waungwana naombeni msaada,

Kwa madaktari nimetoka hospital na wife wangu tumepima vipimo vyote tuko poa ila tatizo kwenye blood group yeye ana O negative na mimi nina B positive kwa maelezo ya daktari kasema hapa kuna uwezekano mke wangu akawa hapati mtoto na hata kama akipata basi mtoto atakufa kwa sababu group zetu haziendani halafu mke wangu ni mjauzito.

Nipeni ushauri hapo ndugu zangu.

Huyo daktari ni pepo kemea kwa nguvu zote haleluya haleluya pokea mtoto katika Jina la Yesu
 
Alichosema yeye kwmb kuna sindano ya dawa anatkiwa achome itagharimu laki 4
Mkeo mjamzito utasemaje hapati mimba???

Ni kuwa kwa kuwa mje ni negative na wewe positive akijifubgua anatakiwa achome sindano ya anti D, asipochoma ndio atakuwa anapoteza ujauzito na kutopata watoto

Hiyo sindano ni muhimu sana mjipange aipate
 
haumuamini daktari?
najua amekupa maelezo mengi zaidi ya haya uliyoleta humu, so we zingatia tu ulichoshauriwa na daktari... labda kama kuna tatizo jingine
 
Baada ya Hizo Sindano kuna uzao Mwema kweli? Na mtoto hatokuwa na matatizo baadae? ni vyema kama binadamu tumegundua haya ni vizuri watu wawe wanapima ionekane wanaendana ndipo waoane... kuliko kuja kuzalisha watoto watakaoteseka duniani...
Haina madhara yoyote kiafya kinachofanyika ni kuuzuia mwili usije hisi kua kuna kiumbe kipya kimeingia mwilini tofauti na kile cha awali.!
 
Mkuu sina maelezo ya kitaalam ila kuna ndugu yangu alikua na hilo tatizo alijifungua salama, alichomwa hiyo sindano iligharim 80,000/=. Nilihoji sana nikaambiwa o- inaona kitu chochote cha tofauti kama adui, kama mtoto akiwa na V+, damu ikienda kwa mama inatengeneza anti nini sijui ili kumkinga mama, sasa hiyo kitu ikirudi kwa mtoto inamuua. Hiyo sindano ndio kazi yake kuzuia hiyo kitu pale inapotokea damu zimachanganyikana. Layman version
Anti D
 
Back
Top Bottom