Recent content by GOD my watcher

  1. G

    Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

    wewe jamaa unajua kuedit, umenchekesha pale vibaka walipokua wanakufata et ukaamua "kufunga mota"
  2. G

    Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

    Alex mahenge....Jina la yesu tamu
  3. G

    Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

    mwendelezo anaocopy umegoma ku_paste....tuendelee kusubiri
  4. G

    Ulianzaje kukaa gheto?

    kuna watu wanaanza first year haddi anamaliza chuo ila pazia n ile ile
  5. G

    Jifunze namna ya kutengeneza sabuni za maji, kufulia, shampoo, sabuni za miche na chooni

    Sodium hydroxide ( NaoH) au wanaita caustic soda....nilikua nanunua kigoma mfuko ni 24000 wa kilo 25kg
  6. G

    Tariq Kipemba amewakosea nini wanadamu mpaka wameamua kumpa adhabu kali namna hii?

    Ni kweli jamaa hali yake ni mbaya....nimewah kumhudumiia yupo pale wodi ya macho ana kama miezi mitatu wodini. Vijana tujichunge sana na zaidi tumsaidie bila kujali kipi amefanya, kama mungu ni mwingi wa rehema na huruma sisi ni akina nani?
  7. G

    Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

    Christina shusho...Tumsifu bwana
  8. G

    INAUZWA Kwa anayetaka kufungua biashara ya kuuzia watu filamu au nyimbo (softcopy) karibu tufanye biashara

    ila milion 4 palefu san, mfano mtu akaweka bando la laki tano hawezi pakua movie za kutosha kutoka link mbalimbali?
Back
Top Bottom