Recent content by God is my Judge

  1. G

    Nimkubalie?

    Kwa mtazamo wangu mi naona "mchane mbavu"..huyo anataka kukutumia tu pale anapojisikia na vile vile ana mke na watoto!Hakuna future hapo.. subiri ambaye hajaoa au kama jasiri na unaona unataka kuondoa upweke kwa kuolewa tafuta wa kukuoa..
  2. G

    The case against MUSTAFA MKULO

    OOh My God ..this terrible... Tena ni waziri wa wizara nyeti halafu kihiyo... hivi JK hua anaangalia CV kweli na kuridhika nazo??? au bora liende...
  3. G

    CCM: Chama Cha Mafisadi?

    Brazameni hapo umesema sawa nakubaliana na wewe.. Kuna list ndefu ya vigogo wa CCM wanahujumu uchumi wetu iliyotolewa pale mwembe yanga..Na tunafahamu madudu yao mengi tuuuuu.. jinsi wanavyoiba bila huruma mali za Watanzania.Kwanini basi tusiwaite MAFISADI?? Nasikitika kusema kwamba 2010...
  4. G

    CCM: Chama Cha Mafisadi?

    Hahaaaa ...ilikuwa Chukua Chako Mapema.. sasa Chama Cha Mafisadi...
  5. G

    Rashid Othman: Umeshindwa Jiuzulu!

    Du... kweli tunasafari ndefu ya kuwang'oa mafisadi na wanowalinda.....JF ndio tunaolinda usalama wa Taifa, RO na team yake wanalinda MAFISADI..
  6. G

    Makamba Atoa Msaada Wa Mchele Mbovu Kwa Waliobomolewa Nyumba Tabata

    ...Mi namshangaa Makamba..amenunua chakula bila kuangalia kina expire lini na kukitoa kama msaada hii inaingia akilini kweli..??.Hivi kweli kingekuwa chakula anachonunua kwa ajili ya familia yake kweli asingeangalia kina expire lini??? .. Hii mi natafsiri kama ni dharau na kejeli kwamba hawa...
Back
Top Bottom