Recent content by God Heals

  1. God Heals

    DOKEZO Kijana Enock Thomas Mhangwaock adaiwa kuuawa kikatili Msituni kwa kipigo kutoka kwa Watendaji wa vijiji vya Uyovu na Lyobahika

    Inauma sana.😭 Yaani hapa nawaza huyo angekuwa ni mdogo wangu, au ndugu yangu wa karibu!!! Hao wauwaji hata polisi wasingewapata, wasingejua wamekufaje na wamefukiwaje. Kwanza ningefukia majivu. Mungu amrehemu marehemu, na kuwapa faraja wafiwa. 🙏
  2. God Heals

    APP ya Kuficha SMS, usikamatwe na Mwenzi wako?

    Yote ya nini hayo!!?! Ujitese kisa nini?
  3. God Heals

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Siku hizi hutaki kujichosha, unajibu huku unashia na maji yasiyopoozwa na friji😂😂😂
  4. God Heals

    Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

    Rejea post namba #406
  5. God Heals

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Wewe unafikiri watu ambao wwnafikiria ni namna gani mwanamke atamwingilia kwanamke mwenzake; na namna gani mwanaume atamwingilia mwanaume mwenzake na wakaganya!!! Hao watu watakua na akili sawasawa??!? Njaa iwakumbe wao, watusingizie sisi, Lol! Acha wanyooshwe na Dubu.
  6. God Heals

    Bunge la Ghana lahimiza kupitishwa kwa muswada wa kupinga ushoga

    Hizi ndizo habari tunapenda kuzisikia waafrika. Tulinde utu, utamaduni, na mila zetu kama waafrika.
  7. God Heals

    Huu upuuzi wa Tanesco na kodi za pango

    Nimekutana na hii adha jana. Nilipowapigia wakaniambia nina deni la mwaka mzima la kodi ya jengo. Na mwaka wa kiserikali ndo unaisha mwezi huu hivyo lazima wakate. Nikajiuliza hivi kipindi nanunua miezi ua nyuma si wamekata! Sasa hili deni la mwaka mzima linakuwaje? Tuna safari ndefu sana, na...
  8. God Heals

    Baba wa kambo jela kwa kumuambukiza mtoto UKIMWI kwa makusudi

    Hata hiyo 30 bado ni midogo. Hapo irekebishwe iwe kifungo cha maisha, na itapendeza zaidi ikiwa ni kunyongwa mpaka kufa. Maana kafanya kwa makusudi.
  9. God Heals

    Marekani: Binti wa miaka 11 ajifungua ujauzito wa kaka yake, baba wa mtoto na wazazi washitakiwa

    Kabisa mkuu. Tungesimangwa humo na kuonekana waafrika hatuna akili.
  10. God Heals

    Meneja wa Uwanja wa Taifa atimuliwe haraka

    Siyo meneja tu, mpaka mwandisi wa umeme, wasaidizi timua wote. Tuanze upya.
  11. God Heals

    Aibu kubwa kwa Taifa taa za uwanja wa Benjamini Mkapa kuzimika mechi ikiwa inaendelea

    Halafu tumeomba kuandaa Afcon tukishirikiana na nchi jirani! Kww namna hii hatupaswi kupewa hiyo nafasi. Labda miaka mia ijayo, tufe wote na itikadi zetu za kujuana, wazaliwe wenye kutumia akili ipasavyo.
  12. God Heals

    Vita ya Dunia vitakapokuwa rasmi, kama Mtanzania unajiandaa vipi?

    Nimependa majibu yako mwanzo mpaka ulipoahirishia. Hutaki kutumia akili nyingi(kujichosha) kwa vitu vya kudhani.
Back
Top Bottom