Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 577
- 1,381
Sioni dalili ya kuisha hii Vità Leo au Kesho làkini vitazidi kusambaa.
Na wakati huu Viongozi wa Afrika hasa ukanda wa Jangwa la Sahara kama hawatakuwa na maamuzi ya Hekima Kuna Hatari maisha yakawa kama kitu ambacho Congo inakipitia.
Pia eneo la Uchumi au mfumo wa Uchumi utapata shida na pia tutakuwa na Wazungu wengi watakaohamia Afrika na hata kuchukua Uraia na wengi wataenda ishi America ya Kusini.
Lakini nachoona matokeo hasa Russia kuendelea sana kutumia mbinu zake za WW2 artillery na Missile na huku akitumia Pia Human Wave haitampa matokeo au malengo anayotarajia sababu Russia sio Tena USSR kuweza kupata Manpower kubwa kuweza Sacrifice watu milioni 27 kwa muda wa miaka 4.
Kwahyo ataangalia sana kupata washirika Asia na Afrika Mimi nadhani tumuombe Mungu awape Hekima Viongozi wa bara la Afrika kuepuka Uharibifu utakaofuata baada ya hapo.
Lakini hii itaipa nafasi China kuwa taifa kubwa linalofuatia yaani Superpower na ataichukua Taiwan kwa makaratasi tu bila kutumia nguvu
Na wakati huu Viongozi wa Afrika hasa ukanda wa Jangwa la Sahara kama hawatakuwa na maamuzi ya Hekima Kuna Hatari maisha yakawa kama kitu ambacho Congo inakipitia.
Pia eneo la Uchumi au mfumo wa Uchumi utapata shida na pia tutakuwa na Wazungu wengi watakaohamia Afrika na hata kuchukua Uraia na wengi wataenda ishi America ya Kusini.
Lakini nachoona matokeo hasa Russia kuendelea sana kutumia mbinu zake za WW2 artillery na Missile na huku akitumia Pia Human Wave haitampa matokeo au malengo anayotarajia sababu Russia sio Tena USSR kuweza kupata Manpower kubwa kuweza Sacrifice watu milioni 27 kwa muda wa miaka 4.
Kwahyo ataangalia sana kupata washirika Asia na Afrika Mimi nadhani tumuombe Mungu awape Hekima Viongozi wa bara la Afrika kuepuka Uharibifu utakaofuata baada ya hapo.
Lakini hii itaipa nafasi China kuwa taifa kubwa linalofuatia yaani Superpower na ataichukua Taiwan kwa makaratasi tu bila kutumia nguvu