Recent content by Gobole

  1. Gobole

    GE2025 Samia: Tunaahidi na kutekeleza tofauti na vyama vingine

    Out of curiosity...zile ahadi za flyover 7 Dsm zilikua ni ahadi za kwenye ilani ya 2020 au chombeza za slow slow?
  2. Gobole

    Ripoti ya IMF (2025): Tanzania Miongoni Mwa Nchi 10 za Afrika Zenye Deni Kubwa la IMF

    Just Dec 2020 tulikua hatudaiwi ht mia mbovu na IMF na ma miradi tulikua nayo kila kona...fast forward 5yrs tupo top 10 na vitu kwa ground ni vya kutafuta na tochi...we are truly li likichwa la mwendawazimu...
  3. Gobole

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Just to put records straight...wabunge wote walio leta hii hoja ya kuongezwa muda hawakurudi 2020 hio ndo ilikua adhabu yao. Juma Nkamia, Kangi Lugola na Kessy.! Ni vile tu watu hamfuatilii mambo na ku connects dots.
  4. Gobole

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Naunga mkono hoja...hakuna rangi utaacha kuona
  5. Gobole

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kwani kwenye hii text kuna sehem amesema anafanya uber au amesema alikutana nae kupitia uber? Tujitahidi kusoma kuelewa sio kusoma kujibu.
  6. Gobole

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Chief saa moja na dk 1 ndio hii...tupo teyari.
  7. Gobole

    Lissu alimkemea Magufuli na Mkapa ambao ni wakatoliki wenzie, huo udini anaopakaziwa sasa unatoka wapi?

    Wakati maaskofu wanatoa waraka ulikua wapi? si ulikua humu humu ndani?au ndo muendelezo wa kujitoa akili?
  8. Gobole

    Kinana: CHADEMA Rais Samia amewapa Ruzuku wao Wanazunguka kumtukana, Wabunge wetu wanalipwa Mishahara midogo tukisema tuwaongeze mtapiga kelele!

    Hakuwapa au walipewa wakazikataa?kadri siku zinavyokwenda ndivyo kasi yako ya kujitoa ufahamu inavyoongezeka.
  9. Gobole

    Kwa Mara ya kwanza TANESCO imepata faida ya Shilingi Bilioni 110. Hongera Maharage Chande

    Achana na vifungu, Ingia website ya Tanesco utakutana na CAG approved financial statements utaziona hizo Faida. Km huwezi kusoma Financial statements hilo sasa litakua tatzo Lako.
  10. Gobole

    Kwa Mara ya kwanza TANESCO imepata faida ya Shilingi Bilioni 110. Hongera Maharage Chande

    Tangu 2020 Tanesco intengeneza Faida. Muwe mnasoma report za CAG.
  11. Gobole

    Rais Samia kapeleka huduma za maji kila kona ya Nchi

    Gomz ipi hio hamkufikiwa ya Mradi wa Pugu enzi za JPM....sisi tangu JPM amtimue yule jamaa aliekua ana mmendea Jokate tuna maji safi na salama. sema alivyoleft tu na mradi uka rest in peace pia. Nway Poleni sana.
  12. Gobole

    Ilikuwaje aliyejenga Twin Towers za BoT alifungwa na aliyejenga Mpingo House hajafungwa?

    Lilijengwa enzi hizo wanyewe wasema ni upepo tu utapita...[emoji1787][emoji1787]
  13. Gobole

    Manunuzi ya Tanzania nje yalifikia Trilioni 36 mwaka 2022

    Ht mafuta tungeweza kutumia gas km mbadala
  14. Gobole

    Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

    Kwaio hapa tunajadili mkataba au sahihi?nlidhani ungewekwa mkataba tuujadili...tutajuaje km hizo sahihi ni za mkataba husika?
Back
Top Bottom