Pole sana mkuu,,,"lakini kwanini usingejipa ujasiri wa kupambana na chatu..kwani chatu hawezi kupambana na watu wawili,,"lazima angekimbia..
Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
Tanzania ni nchi ya ajabu sana,,kwa mawazo yangu sikuwahi kufikiri kama tutafika huku kipindi kama hiki,,,mtu una sx na du wako unakuja kuomba ushauri huku kweli,,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.