Recent content by Gmshoki

  1. G

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Amekwambia toa maana yake sio unatutafsiria
  2. G

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Yani we umesema unajibu swali lolote lkn maswali magumu hutaki kujibu full yaeleweke unajibu kwa mkato Sasa sisi tukikwambia ukweli unajibu fyongo kama ulimvojibu huyo jamaa hapo sa sijui ndo maelekezo ya Babu Yako aliyokwachia ama nn mana alikeambia mtu akiwa na swali majibu and hamna...
  3. G

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Hbr Yako Arsis Nina swali Hawa wakubwa wa Dunia kwann walidanganya umbo la Dunia kuwa ni duara Yani wanafaidika nn kuficha umbo halisi la Dunia kuwa ni duara naomba unijibu
  4. G

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Hbr Yako Arsis Nina swali Hawa wakubwa wa Dunia kwann walificha umbo la Dunia kuwa ni duara Yani wanafaidika nn kuficha umbo halisi la Dunia naomba unijibu
  5. G

    JamiiForums Tanzania Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

    Ishu ya Diana? Kama ni kweli nielekeze mahala Gani nipate full story
  6. G

    JamiiForums Tanzania Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

    Mkuu ikikupendeza tuletee kisa Cha princess Diana maana kifo chake inasemekana aliuawa na M16
Back
Top Bottom