Recent content by gmanz

  1. G

    Watanzania ni wachafu ktk bishara ya nyama choma

    Aiseee hii kweli..siku moja nilienda kununua nyama choma..jamaa ametoka kukaa anacheza karata akajifuta mikono kwenye lisuruali lake na kukata nyama..nikamwambia acha...nimeghaili...akasema oh vp bro..nikamwmbie kesho nikija unawe kwanza
  2. G

    Kwanini unamuua mwafrika mwenzako sababu ya dini za kuletewa tu

    That's true friend..huwa nashangaa upuuzi wa kumuua mtu kwa sababu ya dini...sina neno zuri la kulaaani tabia hii ila this is the thing i wouldn't do in my life...tamaduni za watu tunajifanya tunazujua kuliko hata wanyewe...
  3. G

    Rwandair yagiza q400 brand new frm canada kutua kgl tar 7

    Wanachofanya Rwanda hata nchi za ulaya walifanya na bado wanafanya I mean survivor of fittest..si kwamba naunga mkono kinachisemakana Rwanda anafanya no..but hicho ambacho Rwanda anafanya nchi zilizoemdelea zimekubuu...ndo maana Obama alisema Tanzania kwanza...kitu cha kwanza ni nchi yako and...
  4. G

    Abiria ajichinja ndani ya bus likitokea Lindi (TAHADHARI picha zinatisha)

    Kijana huyu angalau angewatafuta magaidi walipo akajilipue angalau ndugu zake wangefaidika kuliko kufaa kifo kibudu hv....the doomsday...
  5. G

    Abiria ajichinja ndani ya bus likitokea Lindi (TAHADHARI picha zinatisha)

    Kweli kaka..ukishangaa ya mwarabu kujilipua basi hii u will be stunned ...
  6. G

    Abiria ajichinja ndani ya bus likitokea Lindi (TAHADHARI picha zinatisha)

    Nilidhani mambo haya yanatokea tu kwenye movie ya supernatural duh...hii noma..ebana unaweza kuta pepo lilikua limesimama pembeni yako likimuamuru bila watu kujua...hili si jambo la kawaida...
  7. G

    Ushoga ni Freemeson Movement

    Acha upumbavu wewe...ukianza kugusa dini na hili suala unakosea..ushoga ni mtu..kuna masheikh mashoga na mapadri pia..ukisema wakristo ndo wanashabikia ushoga unakosea kabisa mbona waislam wakienda kuhij kuna kipindi kinaitwa kusheherekeshana...mambo gani huwa yanafanyika hatujui hvyo , ni bora...
  8. G

    Unamkumbuka Amrish Puri??

    Kijana umenikumbusha vibanda vya movie.....Dah.
  9. G

    Ustaadhi Mazinge na kufichua Secret societies na wafuasi wa devil:Nani atapona?

    Acha tabia ya kukebehi dini za watu kaka..mkristo hana chuki
  10. G

    Demu anachezea Simu Wakati Wa Sex!

    Vijana wanakula chips mayai na bia unadhani watakimbia mbio ndefu...ndo maana wanachapiwa
  11. G

    Dr. Slaa - marufuku kusafirisha malighafi nje ila products CHADEMA ikiingia Ikulu

    Lizbon katika masuala ya uchumi kuna kitu kinaitwa absolute advantage or competitive advantage..these concepts ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi..are the ones that define the profitability of the country in international business and hvyo zinaathiri pato na deni la taifa...ukubwa wa deni la...
  12. G

    Dr. Slaa - marufuku kusafirisha malighafi nje ila products CHADEMA ikiingia Ikulu

    We chiz kweli..unadhani nchi ka Rwanda wangeshindwa Fanya maamuzi haya...sikwamba hawapendi bali hawana maliasili..unadhani uswis ilipenda kutengeneza saa kama bidhaa kubwa ya biashara...hapana...hawawezi lima sababu nchi ni milima tu..hawana dhahabu za kutosha...hawana katani..we mshamba sana...
  13. G

    Urais wa Muungano 2015 ni zamu ya Zanzibar - Maalim Seif

    Hatuutaki muungano na hii ni sababu nzuri itakayofanya mtuachie Tanganyika yetu..go to hell zenji..afu honestly siku hz nawachukia wazenji Kama navyowachukia wachina..
Back
Top Bottom