Afumwa akiisaliti ndoa chooni, aomba talaka

Afumwa akiisaliti ndoa chooni, aomba talaka

Wanawake bana sio watu wazuri hususan wa kizazi hiki...kuna mwanamke alifumwa akiliwa uroda huku anaosha vyombo kumbe sehemu anayo oshea vyombo kwenye fens alikiwa katengeneza sehem maalu jamaa huwa nakuja muda ule mwanamke anaosha vyombo jion jamaa anajilia vitu huku mwana mama anaosha vyombo kwa ustad wa hali ya juu!!

Duh..hatariiiiii
 
AFUMWA AKIISALITI NDOA CHOONI, AOMBA TALAKA Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Salima mkazi wa Magomeni Kagera jijini Dar, amekuwa gumzo maeneo hayo baada ya kunaswa na mumewe akibanjuka na mwanaume mwingine chooni. Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita saa nane usiku baada ya mwanamke huyo kumuacha mumewe akiwa amelala kisha kujifanya anakwenda kujisaidia read it more at FOR IT,WEB-HOSTING AND NEWS You are welcome maswa exclusive blogspot.
Kwa wanawake wa kizazi hiki ni bora mtu akaandika talaka kabisa aiweke standby na kuacha sehemu ya kujaza tarehe tu. Siku kikinuka unajaza tarehe ya siku hiyo fasta na kumkomesha nayo.
 
Hiyo fensi ni ya miba au ukuta?
kama ni miba, hiyo dushe ina ujasiri wa kukatisha kwenye miba? Makalio ya huyo maza yana ujasiri wa kusogelea miba?
kama ni ya ukuta hiyo dushe ina urefu wa kupenyeza tofali itokee upande wa pili imuingie mtu?
hakuna kitu, kahawa tu hapa.....

Mambo ya Glory hole Evelyn Salt.Labda fence ya mabanzi.
 
Last edited by a moderator:
Wanawake bana sio watu wazuri hususan wa kizazi hiki...kuna mwanamke alifumwa akiliwa uroda huku anaosha vyombo kumbe sehemu anayo oshea vyombo kwenye fens alikiwa katengeneza sehem maalu jamaa huwa nakuja muda ule mwanamke anaosha vyombo jion jamaa anajilia vitu huku mwana mama anaosha vyombo kwa ustad wa hali ya juu!!

Teh teh tee. Lmaoooo.
 
Kwa wanawake wa kizazi hiki ni bora mtu akaandika talaka kabisa aiweke standby na kuacha sehemu ya kujaza tarehe tu. Siku kikinuka unajaza tarehe ya siku hiyo fasta na kumkomesha nayo.

Hatukomi kirahisi hivyo
 
Mkuu Chips,nimepitia hiyo link,ila mwandishi na mhatiri inabidi ashauriwe lugha ya kutumia,maana kiingereza kilichotumika ni balaa tupu..
 
Hiyo fensi ni ya miba au ukuta?
kama ni miba, hiyo dushe ina ujasiri wa kukatisha kwenye miba? Makalio ya huyo maza yana ujasiri wa kusogelea miba?
kama ni ya ukuta hiyo dushe ina urefu wa kupenyeza tofali itokee upande wa pili imuingie mtu?
hakuna kitu, kahawa tu hapa.....


Tena kahawa za mchana wa kua kali ukizingatia VIBAMIA ndio janga kuu la taifa
 
masahihisho,mhatiri = mhariri,makosa ya kiuandishi
 
Mkuu Chips,nimepitia hiyo link,ila mwandishi na mhatiri inabidi ashauriwe lugha ya kutumia,maana kiingereza kilichotumika ni balaa tupu..

Kwa kweli kiinglish chake majanga
 
AFUMWA AKIISALITI NDOA CHOONI, AOMBA TALAKA
Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Salima mkazi wa Magomeni Kagera jijini Dar, amekuwa gumzo maeneo hayo baada ya kunaswa na mumewe akibanjuka na mwanaume mwingine chooni.
Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita saa nane usiku baada ya mwanamke huyo kumuacha mumewe akiwa amelala kisha kujifanya anakwenda kujisaidia read it more at FOR IT,WEB-HOSTING AND NEWS You are welcome maswa exclusive blogspot.


Hiyo maswa blogspot mbona hicho kidhungu ni hataree ya danger? Is Elizabeth Michael aka Lulu a He? Mbali NA ngumbaru nyingi KWENYE articles mbalimbali
 
Maana kwa kiswahili tumeambiwa kafumaniwa saa 8 usiku yeye kaandika at eight means saa mbili usiku lol na mengine lukuki. Kweli kiinglish wito
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom