MUHTASARI:
Pendekezo la mradi huu linalenga kutatua changamoto za Utawala Bora katika Utawala wa Umma wa Tanzania, kwa kutambua umuhimu wa Utawala Bora katika kufikia maendeleo endelevu na kukuza maendeleo ya kijamii.
Mradi huu unalenga kuchambua na kuimarisha nguzo muhimu za Utawala Bora...
jamani mnatakiwa muulize kwanza una muda gan haujafanya mapenzi. sio mnasema tu. mwenzenu nina miezi kazaa cjafanya thats why nimeuliza ili nijue muda gani ninaruhusiwa
Habarini za leo wana JF
Naombeni mnisaidie kunifahamisha, mtu akijifungua kwa operation ni baaada ya muda gani anaruhusiwa kufanya mapenzi?
Mimi nilijifungua kwa operation mwezi uliopita sasa nimemiss sana dudu ya mume wangu. na pia naogopa asije mume wangu akatafuta mchepuko wakumtuliza...
Naomba mnisaidie nifanye nini ili chuchu zisiume.
nina mtoto mchanga wa wiki moja nilijifungua kwa operation, sasa nilipojifungua maziwa yalikuwa sio mengi, mwanangu akawa ananyonya hivyo hivyo hali hii imepelekea chuchu kuuma. yaani zinauma sana hadi huwa nawaza sana ninapotaka kumnyonyesha...
Habari za leo wana JF.
Mimi ni mzazi mpya nimejifungua kwa operation mtoto wangu wa kwanza tarehe 14/5/2014 ni jinsia ya kike. Msaada ninaoomba hapa ni kupatiwa ufumbuzi wa swala hili mwanangu anatoka damu kidogo kidogo katika sehemu zake za siri.
Ila dokta wa watoto na manesi wakasema hyo...
yes kwa standard chat.. nenda kwenye website yao then nenda graduate program, jisajili kuna mswali ya mahesabu na logic. mim niliwah fanya nikafaulu hadi phone interview nilifanyia na mzungu kutoka Londoni. bahati mbaya kwenye hyo phone interview ndo sikufanya vizuri. haijalishi umesoma koz gan.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.