Recent content by Glorelly

  1. Glorelly

    Ushauri kwa mh. Zitto Kabwe (mb)

    KAMA ULIVYOTOLEWA NA DR. B. M. MOHAMED: ENDELEA......... "HIVI NDIVYO ALIVYOWAHI KUSEMA MH ZITTO KATIKA MAHOJIANO NA MWAKILISHI WA WANAJAMII FORUM MNAMO TAREHE 22 NONEMBA, 2012. NA MAONI YANGU KWA ZITTO NI HAYA HAPA CHINI: Mwakilishi: Vipi madai kuwa unatumwa na CCM ili kupunguza nguvu ya...
  2. Glorelly

    Ushauri kwa mh. Zitto Kabwe (mb)

    KAMA ULIVYOTOLEWA NA DR. B. M. MOHAMED: ENDELEA......... "HIVI NDIVYO ALIVYOWAHI KUSEMA MH ZITTO KATIKA MAHOJIANO NA MWAKILISHI WA WANAJAMII FORUM MNAMO TAREHE 22 NONEMBA, 2012. NA MAONI YANGU KWA ZITTO NI HAYA HAPA CHINI: Mwakilishi: Vipi madai kuwa unatumwa na CCM ili kupunguza nguvu ya...
  3. Glorelly

    Video: Dr. Slaa ndani ya Washington D.C., USA

    Mahojiano na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa Part 1 - YouTube Mahojiano na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa Part 2 - YouTube JE UNADHANI NI MOJA YA AINA YA VIONGOZI MAKINI TUNAOHITAJI NA TUTAKAOJUTA TUKIWAKOSA KATIKA TANZANIA YA LEO HASA KWA MABADILIKO MAKUBWA NA YA HARAKA...
  4. Glorelly

    Lowassa afunika Iringa

    Walewaleee...ukiamka huwa unawaza udini tu..!! kwa hiyo hata waliooa waislam watoe talaka kwa wake zao kwa kuwa ni wa islam, acha chuki best.
  5. Glorelly

    Wabunge wa CCM waonyesha umbumbubu bungeni. Hawajui maana ya IMPOTENCY

    Hahahaa!! Jabulani, kama vile huwa unawachabo kaka, maana ni kweli kabisa na ndio maana akili yao ililala kwenye ''uhanithi' wakati wanajua jinsi wanavyotekeleza jukumu lao ipasavyo baada ya kikao maana ndio kipaumbele chao wakati wa vikao vya Bunge.
  6. Glorelly

    Ripoti hii ilifichwa: Chanzo cha kuporomoka Elimu Tanzania!

    Hii inatia hasira sana, na hii inadhihirisha ni jinsi viongozi wasivyojali wala kusikitishwa na hali halisi iliyopo zaidi ya kujali maslahi yao. Nachelea kusema kwamba serikali haina malengo ya muda mrefu katika kuendeleza taifa zaidi ya kuweka na kuteleza malengo ya miaka 5 au 10 ya uongozi...
  7. Glorelly

    FREEDOM IS COMING TOMOROW! By Sarafina.

    FREEDOM IS COMING TOMORROW. - YouTube HII ITATUMIKA 2015 KATIKA KAMPENI KUU, NAWAOMBA WASIMAMIZI WAHUSIKA CDM MZINGATIE HILI. Jiburudishe mkuu Mboja.
  8. Glorelly

    Sakata la Lwakatare na sababu 2 za uthibitisho wa Mtonyaji Serikalini kuihujumu CHADEMA

    karibu mkuu, umeamua kubadili id..!!!!? Kweli mambo yamebana sasa, siamini mzee wa gamba kama na wewe unaigwaya cdm. Ila usjali kaka ''n''..a.k.a muasisi wa ''gamba'', mpambano bado unaendelea.
  9. Glorelly

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Nasikitika sana kuona hadi kipindi hiki cha sayansi na teknolojia kuna watanzania wasiojua kujibu swali au kuchangia mada, nawafananisha na viongozi wanaoingia madarakani na kusahau majukumu yao. Mtoa mada ni binadamu kama mimi na wewe, na sidhani kama alikua na lengo baya kuleta mada kama hii...
  10. Glorelly

    Shugamami anataka nitumie pesa zake

    Tulia kijana mwenzangu, timiza malengo yako, hao huwa hawana shukrani na wanapita tu, tafuta vyako iko siku atakuabisha japo kwa sasa unajiona kidume. Kwanza una uhakika gani kuwa upo mwenyewe maana ushasema ni shugamami,na huyo alonae mwine katulia? tafakari sana usikurupukie maisha. Mafaniko...
  11. Glorelly

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Nakupongeza sana Telo kwa kupost mada kama hii, hizi ndio mada zinazotakiwa kujadiliwa ili kubadilisha fikra potofu na mtazamo wa hasi wa jamii ya sasa. Tatizo linakuja pale malumbano ya yanapochkua nafasi katika kujadili mada, sidhani kama hapa si mahali sahihi pa kunyoosheana vidole au...
  12. Glorelly

    Ukitaka kujua msichana wa chuo hakutaki tena haya ndiyo majibu yao

    Hata wale unaodhani wana hofu ya Mungu nao wamekua mbwa walivaa ngozi ya kondoo, duh! inatisha wadau.
Back
Top Bottom