Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Mambo Vipi Wakuu?mwenzenu kuna mdada naishi nae kanizidi kama miaka 7 tatizo lake kubwa ana wivu kinoma na kutokana na wivu wake hataki hata nifanye kazi amefungua ofisi maeneo ya magomeni na anataka niwe msimamizi na niachane na misheni zangu naombeni ushauri wakuu.
yaani kumbe wew wa bei rahisi hivyo?......................endelea kuuza tu hiyo roho yako............kifupi ni kwamba anailipia roho yako in advance!