ok. mimi nilikua mwanafunzi wa ifm kwa mwaka wa masomo 2014/15 kwa koz ya bachelor of accountancy. nikasoma kwa semister 1 na mwez mmoja wa semister 2, Ada niliopaswa kulipa kwa kozi hiyo ni 1,750,000/= mimi nikalipa kwa awamu moja sh. 1,050,000/=
Kutokana na matatizo ya kipesa nkashindwa...
Habari zenu wana JF, mimi ni mgeni humu jamvini.
Naomba msaada wa kupata namba za simu za mhusika yeyote wa ofisi za TCU upande wa Admission mana kuna tatizo la kiusajili nimekutana nalo ambalo linanilazimu napate mtu wa kutoka pale ofisini, naombeni msaada huo ili niweze kuendelea na taratibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.