Recent content by glisi ya vyuma

  1. G

    Nini hukumu yao siku ya Kiama kwa wale wasiopata neno la Mungu tangu wazaliwe hadi kifo?

    Haitafika mwisho mpaka injili ineimfikia kila mmoja
  2. G

    Airtel huu uhuni mliouanzisha unaleta matatizo kwenye jamii

    Hii ni kwa kampuni zone za mawasiliano pia ni sheria inasimamiwa na TCRA
  3. G

    Rais Magufuli ametukanwa tena na Jarida la Economist. Tukiendelea kunyamaza, itafika siku Uongo huu utageuka Ukweli!

    Pascal Mayalla Sasa mbona mkuu umeyafafanua haya matusi na yataeleweka na kuwafikia wengi zaidi
  4. G

    Nimezama kwenye penzi dada wa kazi. Ameondoka kwangu imekuwa kama msiba

    Halafu huyu jamaa ameishi ktk ndoa miaka 20 kwa makisio huyu jamaa ana miaka zaidi ya 40 ila anachotuelezea nikama ana miaka 17
  5. G

    Hospitali ya Rabininsia huduma zenu ni mbovu, boresheni

    Wingi Wa watu inaashiria huduma bora. Tatizo wewe ulikuwa na haraka zako.Tatizo wewe ulienda kutembea mgonjwa Wa ukweli kabisa hasubiri mpaka akiwa free kazini ndio aende hospitali. Kuwa makini na biashara za watu. Wenzio wametumia gharama kujenga jina wewe kirahisi unataka kuhatibu. Fikiri...
  6. G

    Unaikumbuka hii..? 'Super Eagles'

    John otaka
  7. G

    Anayefahamu kuhusu biashara ya Q-Net

    Kweli wanashuhudia uongo wa hali ya juu sana magar, akaunti za benki na vitu kibao
  8. G

    Anayefahamu kuhusu biashara ya Q-Net

    Nimesikia kuwa hii ni business networking organization na watu wanapiga mkwanja wakutosha huko. Naomba kama kuna anayeifahamu hii atujuze kwa maslahi ya wengi.
Back
Top Bottom