Recent content by gkutta

  1. G

    Sign Up kwenye Domain

    Nina rafiki anataka kujiunga jamii forum. Nsomba link nimtumie.
  2. G

    Mkutano BAKWATA: PM Majaliwa awaomba viongozi wa dini kupigania amani

    Kama viongoziwa BAKWATA watafanya vikao vyao kwakusikiliza maelekezo ya serikali nini basi kujisajili kama idara ya serikali na sio taasisi ya kidini? Nani Mkuu kwako Mungu au Serikali?
  3. G

    Suala la Airtel na TTCL inajulikana tokea 1998, na Serikali iliweka mabilioni na kuua TTCL

    Hizi kiki za trillion 400 kuwa bilioni hewa 300 tushazichoka!!! Uliona wapi mwizi akashikwa bila hukumu? Jiulize tu mabilioni yaliyopotea ndani ya Airtel nje ya ttcl yapo wapi hadi leo unakamata kopo tupu la blue band wakati inafilisika toka GB moja kwa 1000 hadi MB 500 kwa elfu??
  4. G

    Kuongeza kodi ni kuongeza umasikini...

    Ni ujinga kwaza kuwa bandari ni flyover!!.... Yapo mambo mengi muhimu zaidi ya mipango inayofanywa sasa Dar ambayo yangefanyika Dar yangekuwa tija kwa walipakdi hata nje ya dar na bado kuifanya dar kuwa Bandari salama africa!! Suala la Huduma za kiserikali kuwa na kupatikana Dar ni suala la...
  5. G

    Kuongeza kodi ni kuongeza umasikini...

    Mimi ndio kabisaa sijaona akili yoyote ndani ya hoja zako. Mfano wako ni mmoja tu ndani ya vigezo vingi vya kuzingatia katika uendeshaji wa shughuli za kiuchumi nchini na kwa manufa ya walipakodi sio sifa zisizo na maana kwa wasiojali jasho la mlipakodi na wasiolipa kodi huku wakitunzwa kwa kodi...
  6. G

    Kuongeza kodi ni kuongeza umasikini...

    Kutotambua vipaumbele vya msingi vyenye kuwagusa wote kimaendeleo ni ujinga pia!..kutojua ni vipi ustrategize malipo ya mkopo husika kuwagusa wanufaika kuliko kila mtu asiyenufaika nao ni upumbavu kiuchumi. Sio lazima kila shughuli ya kimaendeleo kwa jamii fulani ndani ya nchi ichangiwe na kila...
  7. G

    Kuongeza kodi ni kuongeza umasikini...

    Ukiwa mjinga huwezi pona kwa kuogelea mitaro. Akili ndogo hupayuka kwa hamaki za hulka ya kutotaka kukosolewa bila kusikiliza kwa makini ama kusoma ujumbe uliotolewa! Ulichouliza kimejibiwa humo ila kwa kuwa una ushabiki wa kijinga utabaki kuwa zuzu siku zote!
  8. G

    Kuongeza kodi ni kuongeza umasikini...

    Nikujibu tu kifupi!!... Suala la Uchumi wa wenye magari na waishio Dar lisingechukuliwa kuwa kigezo pekee cha kusababisha kila mtanzania kuingia gharama kuchangia kuondolewa kwa madhila yao. Mipango mibovu ya uchumi kwa sehemu husika ndiyo sababu ya yote hayo na kujibidiisha kuwaneemisha watu wa...
  9. G

    Masha, Mkumbo, Mwigamba, Albert Msando na Katambi Mwenyekiti BAVICHA, wajiunga CCM

    Baada ya ccm kujitapa mna wanachama wengi kuliko upinzani sasa ni dhahiri mnaonesha kuwa ccm ina wenye akili wachache kuliko upinzani!!...Endapo kama idadi ya wanachama wa ccm ingelingana na uhalisia wa wenye akili, ccm isingejisifia kununua wapinzani kuwafanya sehemu ya think tank yake ya...
  10. G

    Kuongeza kodi ni kuongeza umasikini...

    Kwa kadiri ya mawazo yangu.... Ni ujinga kuwaza kuwa kukopa na kuongeza kodi kwa watanzania ama katika huduma z a kijamii na kibiashara ndiyo njia pekee ya kuendesha shughuli za kimaendeleo nchini huku nchi ikiruhusu kupokea 4% ya mapato ya madini yake kwa wawekezaji wa nje. 50% peke yake ya...
  11. G

    Usijilinganishe na wenye madeni ya akili!

    Wakati wenzako wanaopa bilioni mia kuandaa miundombinu ya kukidhi mahitaji ya miaka kumi ijayo wewe unakopa bilioni mia kujifanya unaandaa miundombinu ya kukidhi mahitaji ya miaka mia ijayo ili hali uchumi na maendeleo yako ya sasa ni nyuma kwako mara mia!!! Kujisifia ongezeko la deni la taifa...
  12. G

    Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Kuzungumzia ongezeko la uzalishaji kana kwamba secta zote zinawajibika kuongeza uzalishaji huku kuna secta nyingi zinafanya kazi za huduma zisizoongeza uzalishaji wa moja kkwa moja ni kutojua maana ya kuwa mwajiri na kongozi wa jamii. Ongezeko la uzalishaji ni function ya Utawala husika na...
  13. G

    Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Kuzungumzia ongezeko la uzalishaji kana kwamba secta zote zinawajibika kuongeza uzalishaji huku kuna secta nyingi zinafanya kazi za huduma zisizoongeza uzalishaji wa moja kkwa moja ni kutojua maana ya kuwa mwajiri na kongozi wa jamii. Ongezeko la uzalishaji ni function ya Utawala husika na...
  14. G

    Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Rev. Gilbert Kutta: -Kusema mshahara kupanda sio sahihi jiulize tu ni kwanini basi usishuke??.... Nini maana ya Usahihi wa kiwango cha mshahara na ni vigezo gani unatumia kuweka hizo targets za utendaji kazi ukilinganisha motisha unazotoa??...Ieleweke kuwa Kazi na ujira ni haki na si fadhila...
  15. G

    Kupandisha mshahara ni wajibu wa kiweledi kwa mwajiri na si fadhila

    Ksema mshahara kupanda sio sahihi jiulize tu ni kwanini basi usishuke??.... Nini maana ya Usahihi wa kiwango cha mshahara na ni vigezo gani unatumia kuweka hizo targets za utendaji kazi ukilinganisha motisha unazotoa??...Ieleweke kuwa Kazi na ujira ni haki na si fadhila ..Tukianza hapo...
Back
Top Bottom