Recent content by GK Francis

  1. G

    Hongera waliochaguliwa kozi ya Community Health, NACTE

    Jamani naomba link ya hao waliochaguliwa nataka nicheck mdogo wangu kama kachaguliwa.
  2. G

    Free Vodafone v785 Unlock Codes !

    Tafadhari kaka naomba unisaidie code za unlock Vodafone Imei 359729059447624 V785-2BVDTZ1
  3. G

    Msaada anayefahamu Ubalozi wa China hapa Tanzania

    Ndugu zangu naomba msaada kwa anayefahamu mahali zilipo ofisi za Ubarozi wa China chini Tanzania.
  4. G

    Ajira Tanzania

    28/09/2015 Wataalamu katika fani ya mziki wanahitajika: NAFASI: MKUFUNZI WA MZIKI –NAFASI 2 MKATABA: MIEZI 8 Sifa za Mwombaji: Awe na Shahada au Diploma katika fani ya mziki kutoka chuo chochote kinachotambuliwa. Awe na uelewa nadharia na vitendo kuhusu mziki Awe na uwezo wa...
  5. G

    Walimu wa Muziki wanahitajika

    EBENEZA MUSIC TRAINING CENTRE (EMTC) Mobile:+255 752 268 396 P. O. Box 10, Itigi E-mail: ebenezamusictraining@yahoo.com +255 787 895 473 TANZANIA. www.facebook.com/Ebenezamusictraining/ 28/09/2015 MAELEZO Ebeneza...
  6. G

    Walimu wa mziki wanahitajika

    EBENEZA MUSIC TRAINING CENTRE (EMTC) Mobile: +255 752 268 396 P. O. Box 10, Itigi E-mail:ebenezamusictraining@yahoo.com +255 787 895 473 TANZANIA. www.facebook.com/Ebenezamusictraining/ 28/09/2015 MAELEZO Ebeneza Music Training...
  7. G

    Ajira kwa wataalamu wa muziki

    Waambie waje kaka
  8. G

    Ajira kwa wataalamu wa muziki

    EBENEZA MUSIC TRAINING CENTRE (EMTC) Mobile: +255 752 268 396 P. O. Box 10, Itigi E-mail:ebenezamusictraining@yahoo.com +255 787 895 473 TANZANIA. www.facebook.com/Ebenezamusictraining/ 28/09/2015 MAELEZO...
  9. G

    Kwa wenyeji wa mtwara

    Tafadhari naomba mnisaidie kama kuna mtu anaifahamu vizuri hii Kampuni inayojiita A & M FREIGHT LIMITED na Dr. Amy Aliku mwenye No.0769 014 953 anayedai kuwa Mkurugenzi wa Kampuni hiyo hapo Mtwara. Naombeni wanajukwaa mnifahamishe.
  10. G

    Kwa Wenyeji wa Mtwara

    Tafadhari naomba mnisaidie kama kuna mtu anaifahamu vizuri hii Kampuni inayojiita A & M FREIGHT LIMITED na Dr. Amy Aliku mwenye No.0769 014 953 anayedai kuwa Mkurugenzi wa Kampuni hiyo hapo Mtwara. Naombeni wanajukwaa mnifahamishe.
  11. G

    Sekomu tukutane hapa.

    Kwa wale wanaopenda kukaa Off-campus waulize kuhusu upatikanaji wa vyumba. 0787895473
  12. G

    Waliochaguliwa UDSM undergraduate

    Nichekie SAYUNI B CHAMBO.
  13. G

    Waliochaguliwa UDSM undergraduate

    Samahani naomba wadau mnichekie username S0233/0071/2010 SAYUNI B. CHAMBO
  14. G

    Attention!

    I'm now a family member of this Forum so accord to me cooperation.
Back
Top Bottom