Recent content by Gjuma

  1. G

    Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi

    Mkuu mimi nahitaji frem maeneo ya Sinza Kwaremi au Kumekucha
  2. G

    Huduma za kisheria katika uanzishaji kampuni

    Mkuu naomba uniPM endapo unahitaji msaada na tufanye kazi
  3. G

    Usajili wa consultancy firm

    Mkuu hatua ya kwanza ni kusajili kampuni yako BRELA.See below step by step procedure 1. Apply for clearance of the proposed company name at the Business Registration and Licensing Authority (BRELA) 2. Prepare Memorandum and Articles of Association (MEMAT) 3. Obtain a notarized declaration...
  4. G

    Clearing and forwarding company

    Bei za BRELA ndo' hizo hapo kwa viambatanisho,zinatofautiana kulingana na mtaji (nominal share capital).Bei za mihuri ya mawakili na kazi yenyewe ya kudraft Memorandum & Articles ni maelewano
  5. G

    Ni taratibu zipi zinafatwa kuanzisha/ kusajili Kampuni?

    Mkuu nakupa heshima zako.Mimi naweza kukusaidia kwenye mchakato mzima kuanzia name search,memorandum and articles of association mpaka pale utapewa certificate of Incorporation na BRELA.We niPM au nipigie simu namba 0769210807 tushauriane.Nimefungua kampuni kadhaa zikiwepo za IT na Telecoms kwa...
  6. G

    Clearing and forwarding company

    Mkuu nakupa heshima zako.Mimi naweza kukusaidia kwenye mchakato mzima kuanzia name search,memorandum and articles of association mpaka pale utapewa certificate of Incorporation na BRELA.We niPM au nipigie simu namba 0769210807 tushauriane
  7. G

    Nauza line za tigopesa

    Bei gani mkuu?
  8. G

    Msaada juu ya kuandika C.V

    why not?
  9. G

    Help Please: Business Plan

    Mkuu,itabidi unitafte ofisini kwangu kama upo Dar ndo' uweze kunielezea details za kampuni yako kama vile mtaji,sales forecast,company objectives,Mission statement,Keys to success,Technical information,target market n.k.Kumbuka wazo ni lako na mimi kazi yangu itakuwa ni translating/putting down...
  10. G

    Help Please: Business Plan

    Nimeambatanisha samples mbili hapo za kazi ambazo nimefanyia watu wengine. Uziangalie kisha uniPM kwa majadiliano zaidi ikiwa utaridhika na hiyo format yangu.
  11. G

    Natamani kumiliki biashara yangu

    Fikiria ni biashara gani utafanya.Kama utahitaji kufungua kampuni au formal business unitafute nikusaidie ili uweze kutimiza ndoto yako.Mimi ni mtaalam wa mambo hayo haswa kwenye kuandaa documents kama Memorandum & Articles of Association,Business Plan etc.Nitakuhudumia probono kwa vile wewe ni...
  12. G

    Mtaji wa tsh 1,000.000 (1million) nitafanya biashara gani?

    Ni kweli vinywaji vinaeza kuwa na maslahi
  13. G

    Anayewahamasisha wafanyabiashara huyu hapa

    Nakubaliana nawe mkuu
Back
Top Bottom