Hapana,sio kwamba anashindwa mazoezi la hasha!tatizo ni ugeni wa mazingira aliyopo kwani bado hajayazoea vyema ila atakapozoea mazingira mambo yatakua safi labisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni mabishanao yasiokua na msingi kikubwa tunatakiwa tumshukuru mungu hata kwa Kua na mchezaji wa kitanzania kucheza epl kwaio hapa sisi cha kufanya ni kumuombea samata a fanye vizuri zaidi na hata asajiliwe na man u
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna maana ya kulipa ubaya kwa ubaya la msingi Ilan wanatakiwa wasamehe tu yale yote waliotendewa na marekani kwa masilahi ya ilani na wananchi wa ilani kwa ujumla ili kuepusha matatizo zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.